MAT/CHAHITA annual general meeting mwaka huu mbeya.

mkuu ni mkutano mkuu wa mwaka wa chama cha hisabati Tanzania.
 
Ndo kitu gani hiyo...?

Ni chama cha madoktari wenye nia ya kutibu watanzania kwa moyo mkunjufu....japo sereksli imeshindwa kutoa mazingira mazuri ya kazi na vifaa kama vitsnda mashuka na dawa.MAT kunadalili raisi wa mwaka 2030 kutoka chama hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…