Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Mataa yaliundwa ili kuongeza usalama kwenye makutano ya barabara. Lakini yana athari moja mbaya. Yanaleta foleni mijini.
Utafiti umefanyika umeonyesha kuwa roundabouts ni salama kuliko mataa na pia hazileti foleni.
Mfano hai: Zamani Mbeya kulikuwaga hakuna foleni. Lakini tokea waweke mataa eneo la mafiati kila mwaka nikienda nakuta foleni imeongezeka. Gari kwenye mataa lazima zisimame kusubiri zamu yao. Kwenye roundabouts hakuna hicho. Muda wote gari ipo kwenye mwendo.
Bahati mbaya wabongo na ushamba wetu tunadhani kuwa na mataa ni maendeleo!! Tuachane na habari ya mataa ya kuongozea magari. Tukomae na roundabouts
Utafiti umefanyika umeonyesha kuwa roundabouts ni salama kuliko mataa na pia hazileti foleni.
Mfano hai: Zamani Mbeya kulikuwaga hakuna foleni. Lakini tokea waweke mataa eneo la mafiati kila mwaka nikienda nakuta foleni imeongezeka. Gari kwenye mataa lazima zisimame kusubiri zamu yao. Kwenye roundabouts hakuna hicho. Muda wote gari ipo kwenye mwendo.
Bahati mbaya wabongo na ushamba wetu tunadhani kuwa na mataa ni maendeleo!! Tuachane na habari ya mataa ya kuongozea magari. Tukomae na roundabouts