Mataa ya urafiki apa Bodaboda amepasuliwa na daladala muda huu

Mataa ya urafiki apa Bodaboda amepasuliwa na daladala muda huu

De La Cruz

New Member
Joined
Sep 20, 2024
Posts
4
Reaction score
4
20241002_170601.jpg
 
Hivi tunavyo sensinalise vitu kama hii Taarifa sio sawa kabisa.

Na kama ipo sawa, basi, mtu akisema 'Babako amepasuliwa, iwe na Maana ameuwawa'?

Au DaDa yako katoka kwenda Bichi kapasuliwa. Hata kama alienda kujitanua tu ufukweni.

Hii sio sawa kabisa na inakiuka misingi ya kiuandishi na uwasilishaji wa Habari. An offence by the way.
 
Back
Top Bottom