Mataifa kumi Afrika yenye barabara bora, nchi yako kama haiko koma ubishi

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hizi takwimu zimefanywa kitaalam, sio kwa ajili ya Kenya tu, Singapore ndio inaongoza duniani.
Hapa EAC Rwanda inaongoza, dah hongera sana Kagame, ungepewa nchi kubwa yenye raslimali tungekukoma.


1. Namibia
2. South Africa
3. Rwanda
4. Cote d'Ivoire
5. Mauritius
6. Morocco
7. Kenya
8. Botswana
9. Cape Verde
10. Senegal
 
Teh teh teh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Barabara nzuri halafu mnamfukua marehemu kaburini alipozikwa ili mchukue uniform alizozikwa nazo za ofisini alipokuwa anafanyia kazi??

Nyie ni masikini wa kutupwa sana.

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

Poleni ila mjitahidi ipo siku mtafikia level ya kutajwa wanapotajwa wengine.
 
Punguza hasira bro...iko siku mtafika tu n nyinyi..manake sio kw povu hili
 
Rwanda deserves kuwa ya kwanza EA
 
Poleni mfanye bidi kujenga barabara akina geuza ulale.acha kuspend your lifetime on JF na nchi inaoza
 
Nenda katafute Albino
 
Wakenya kwema? 😂😂😂😂😂😂

Asubuhi asubuhi na mkong'onto!

Acha roho Mbaya sasa!
 
Sisi watz ni wazee wa kusuprise kama tulivyo Fanya kwa jiji LA dar es salaam na music watashangaa wenyewe wataanza kusema Tanzania ni hatari
Subiri flyover zetu ziishe zote tutaongoza Africa mashariki
 
Safi sana MK254 ripoti safi hii from reputable source ila huwezi ona wakenya wakiruka ruka kila mahali na misifa,hawa jirani zetu ripoti moja au mbili kwanza from kenyans and they are jumping all over,that shows how desperate they are to be validated by kenyans.
 
Hawaruki na hii ripoti wameleta ya nini kama sio hiyo misifa?
Jitambue..
..
 
Pesa ya kujenga daraja moja tu la Kigamboni inatosha kujenga bara bara zote za nchi ya Rwanda na chenji ikabaki!
Acheni kufananisha Tz a vast country with some other tiny countries such as Kenya! Tanzania by size is nearly twice the size of Kenya!
 
Hahahah kumbe ile video imepenya [emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea na statistic za online wakati nduguzo washakuambia
 
Kuna nchi inatafutwa hapa ili itoe povu!

Halafu hivi Rwanda ukitoa mji mkuu wake Kigali kuna mji mwingine wowote umeendelea kwenye ile nchi?
 
Dada ni huu uzi hapa chini ndo umempa mawenge [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna nchi inatafutwa hapa ili itoe povu!

Halafu hivi Rwanda ukitoa mji mkuu wake Kigali kuna mji mwingine wowote umeendelea kwenye ile nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…