Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Ukisikiliza mikwara baina ya Marekani na China kuhusiana na bahari ya Pacific na vita vya kibiashara utafikiri kesho tutaamka kombora limetua Washington au Peking.
Halafu ukasikiliza mikwara ya Urusi na Marekani kuhusiana na vita vya Ukraine utafikiri kesho ndio mwisho wa amani na nyuklia itatumbuliwa muda wowote ule/
Mara rais Xi akutana kwa Tabasamu na raisi Biden.Papo hapo mkuu wa CIA azungumza na mwenzake wa KGB na Kremlin kuhusu kuendeleza vita lakini kwa usalama bila matumizi ya nyuklia.
Sisi mataifa madogo tushike aKILI zetu VYEMA na tuangalie ya kwetu. Hawa watu wanatupotezea muda na kutugeuza watumwa wa sarakasi zao. Hawana ugomvu wa kweli.
Kama hawawezi kupigana dunia ikaishi kwenye amani basi tutengane nao tuunde umoja wetu peke yetu.
Halafu ukasikiliza mikwara ya Urusi na Marekani kuhusiana na vita vya Ukraine utafikiri kesho ndio mwisho wa amani na nyuklia itatumbuliwa muda wowote ule/
Mara rais Xi akutana kwa Tabasamu na raisi Biden.Papo hapo mkuu wa CIA azungumza na mwenzake wa KGB na Kremlin kuhusu kuendeleza vita lakini kwa usalama bila matumizi ya nyuklia.
Sisi mataifa madogo tushike aKILI zetu VYEMA na tuangalie ya kwetu. Hawa watu wanatupotezea muda na kutugeuza watumwa wa sarakasi zao. Hawana ugomvu wa kweli.
Kama hawawezi kupigana dunia ikaishi kwenye amani basi tutengane nao tuunde umoja wetu peke yetu.