MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Kuna ripoti nimesoma kwamba Ethiopia ndio inaongoza duniani kwa ukosefu wa vyoo kwa watu wake, hizi ni taarifa za 2018 nikashangaa sana ukizingatia wanavyong'ang'ania treni za umeme ambazo pia kutwa full matatizo maana kule hamna umeme wa uhakika, ni vigumu sana kuelewa vipau mbele vya viongozi wa Kiafrika.
Hawa hawa Ethiopia, raia wao hukamatwa kila siku wakijaribu kuitoroka nchi na kuzamia kwenye mataifa ya watu haswa kule Afrika Kusini. Ethiopians Less Likely To Have Access To Decent Toilets – Report – NewsPay.ng
Halafu hapa taarifa za 2017 za mataifa yanayo ongoza kwa uchafu na ukosefu wa vyoo
Countries With The Fewest Toilets Per Capital
Rank Country % of population with access to proper sanitation facilities
1 South Sudan 6.7%
2 Niger10.9%
3 Togo11.6%
4 Madagascar 12%
5 Chad 12.1%
6 Sierra Leone13.3%
7 Ghana 14.9%
8 Congo 15%
9 Tanzania 15.6%
10 Eritrea 15.7%
11 Liberia 16.9%
12 Papua New Guinea 18.9%
Countries With The Fewest Toilets Per Capita
Hawa hawa Ethiopia, raia wao hukamatwa kila siku wakijaribu kuitoroka nchi na kuzamia kwenye mataifa ya watu haswa kule Afrika Kusini. Ethiopians Less Likely To Have Access To Decent Toilets – Report – NewsPay.ng
Halafu hapa taarifa za 2017 za mataifa yanayo ongoza kwa uchafu na ukosefu wa vyoo
Countries With The Fewest Toilets Per Capital
Rank Country % of population with access to proper sanitation facilities
1 South Sudan 6.7%
2 Niger10.9%
3 Togo11.6%
4 Madagascar 12%
5 Chad 12.1%
6 Sierra Leone13.3%
7 Ghana 14.9%
8 Congo 15%
9 Tanzania 15.6%
10 Eritrea 15.7%
11 Liberia 16.9%
12 Papua New Guinea 18.9%
Countries With The Fewest Toilets Per Capita