Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Jitu zima hovyoo kabisa!sasa huo ukosefu wa vyoo unazo athari zozote kwenye shughuri za kusaka pesa
Nairobi inaongoza kwa cholera EA!Jitu zima hovyoo kabisa!
Hujui umuhimu wa choo kwa umri ulionao wa mvi kila mahali?
Mijitu ya CCM ni mikichaa kabisa!
Bure kabisa!
India ndo usiseme... Kuna vichaka katikati ya mji watu wanakojoa tu... Na kujisevuNigeria wamezidi, Lagos kukutana na kinyesi barabarani ni kawaida.
Sasa kama maji nairobi hayapatikani je kibera yanawafikia? kama hayawafikii je wanatawadhia nini?Kibera ukubwa wake hata sio 0.001% ya Nairobi nzima. Alafu ule mradi wa NYS 2015/16 wa uboreshaji wa miundo mbinu kama mabarabara, madaraja na usambazaji wa umeme kwenye vitongoji duni uliandamana na ujenzi wa vyoo vingi sana pia, vya umma.
Nairobi maji hayapatikani? Kwa hivyo watu wanaishi kama ngamia? Sasa mbona Kenya hatupo kwenye hiyo list hapo juu? Pambaneni na hali yenu bana.Sasa kama maji nairobi hayapatikani je kibera yanawafikia? kama hayawafikii je wanatawadhia nini?