Mataifa yatakayoendelea kuwapo baada ya vita ya 3 ya dunia

Mataifa yatakayoendelea kuwapo baada ya vita ya 3 ya dunia

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
Kaa chonjoo mwana JF

Tumeshasikia sanaa maisha hayana formula kinaweza pulizwa Kipenga pyeee nyuma geuka, wa mwisho akawa wa kwanza na wa kwanza akawa wa mwisho. Tupo hapa bongo land tumerelax sana huku tukiyakandia baadhi ya mataifa kwamba hayana amani. What if hizi nchi zilizo kwenye vita zipo mbele ya muda tuu na Vita inakuja kuzijia nchi zote!

Sina maneno mengi wananchi wa hizi nchi watapita vizuri tuu kwenye vita ya tatu. Naaza na waafrika

Congo
images (2) (5).jpeg

Hawa ni machalii tu huko congo

Ethiopia

images (2) (6).jpeg

Waithiopia historia ina waweba na wana watu wengi vita Kwao ni kama kunywa maji.

Somalia
images (2) (3).jpeg

Somalia watu wamezaliwa kwenye vita hata ikitokea wao maisha yao bado kama kawaida tuu. Hapo juu ni pisi kali!

Nakuja kwa dunia sasa

Marekani
images (2) (2).jpeg

Raia wa marekani wana hamu sana na Vita! Hawa wananchi ndio watasurvive hata yakitokea Mazombi.

Watalebani
images (2) (8).jpeg

Ukisikia kisiki cha mpingoo hawa watu, hamna haja ya kuwaongelea sana kama unabisha kapime maji!

Warusi
images (2) (9).jpeg

Hawa jamaa hawaitaji intro picha hapo ni majirani zao ndugu zao ukraine.

Last waisrael
images (2) (10).jpeg

Hawa nawaweka kwa sababu wana tactick bora za kivita ajabu, pia viongozi wao wapo assertive hawaitaji majadiliano katika maamuzi kitu ambacho ni bora kabisa vitabu.

Haya kwenu nyinyi KISIWA CHA AMANI inasikitisha sana tutakavyo pagawa wananchi pale Dunia itakapo amua kuvaa dera.

Ongezea taifa ambalo unaona nimeliacha weka na sababu.
 
Only the dead know the end of war.
Asault rifle (AR) M416 wale wa PUBG mobile wanaelewa shughuli yake.
Screenshot_2024-05-01-18-05-48-962_com.android.chrome.jpg
 
Tuna kuzoom tu tukiwa huku NASA kwenye tafiti za anga za juu. Sasa ipo hivi ngoja nikuibie Siri kidogo.

Www3 ni program ambayo ipo katika hatua za mwisho mwishoni kabisa. Kwasasa sisi NASA tukishiriana na wadau wengine wa tafiti huku angani tunakamilisha mazingira ya kuwezesha binadamu kuishi. Tayari Kuna miji ya kuishi itakayowezesha binadamu kuishi bila shida yoyote ikiwemo na mechanism zote muhumu za kuregerete maji, hewa na chakula kwa muda ambao binadamu ataishi huku angani. Hii ni kwa sababu hapo duniani kwa Sasa sio sehemu salama kuishi, kwa kifupi hii Dunia haita maliza miaka 150, ukianza kuhesabu tangu mwaka 1960 ambapo sisi mataifa makubwa tuksona tuongeze mikakati ya kujiokoa.

Sasa basi ili kuusogeza sogeza kidogo muda mbele ndio tukaja na program mbali mbali za kupunguza population ili kulinda mazingira hususani kwa nyie masikini ambao mda wote mnawaza starehe na ulozi tuu. Mambo kama magonjwa ya ukimwi, vidonge vya uzazi wa mpango, vita vya wenyewe kwa wenyewe, kuwekewa sumu kwa bidhaa za kula, ushoga nk ni mbinu tuu za kuvuta vuta muda ila tujipange vizuri.

Kwa Sasa kama nilivosema hapo juu tumefikia pazuri sana coz tafiti zimekamilika, technolojia imekuwa na majaribio ya kuishi huku juu yametoa matokeo chanya.

Kwahiyo Sasa mpango unaofuata ni kuindoka huko duniani ili tuiache Dunia ijitengeneze Tena kwa necha yake awali. Tumepanga tunia ibaki tupu walau kwa miaka miatano tukiamini binadamu ataweza kuishi salama kabisa bila shida. Kifupi tunataka kuwahi Dunia kabla yenyewe haijatuwahi.

Sasa basi husifikiri kwamba kila mtu atakuja kuishi huku. Huku watakuja watu wachache sana ni kama asilimia moja tuu ya watu wote duniani. Wapo wanaojijua na wasiojijua lakini utaratibu wa kuwahamisha umeshakamilika na kifupi umeshaanza. Na tumechukua sample kutoka mabara yote duniani lkn kwa vigezo vyetu. Ni kama nuhu tu alivoingiza wanyama kwenye safina ili kulinda race ya wananyama wale.

Sasa kila kitu kikishakaa sawa na kuwatoa watu wetu huko Duniani ndipo Sasa tita launch www3. Ambapo mtaona mnavamiwa na mashines au robots ambapo wao kazi itakuwa ni moja tuu kutekeza nyie paka zote ambao ni unchosen one. Yaani hizi machine zipo very accurate kusense POPOTE alipo duniani. Baadae zitaharibu miundo mbinu yote ya Dunia na kuiacha Dunia flat. Na zitakaa huko kwa miaka 100 ili kuhakikisha hakuna binadamu ambae anasurvive. Baada ya hapo tutazilupua hizo machine.

Kwahiyo ndg if you are not the chosen one in this program ikitokea hiyo vita huponi na hakuna inchi ambayo itasalimika.. kifupi hicho kidunia chenu hakina miaka 100 mbele, tunakilipua.

Wabilah taufiq
 
Tuna kuzoom tu tukiwa huku NASA kwenye tafiti za anga za juu. Sasa ipo hivi ngoja nikuibie Siri kidogo.

Www3 ni program ambayo ipo katika hatua za mwisho mwishoni kabisa. Kwasasa sisi NASA tukishiriana na wadau wengine wa tafiti huku angani tunakamilisha mazingira ya kuwezesha binadamu kuishi. Tayari Kuna miji ya kuishi itakayowezesha binadamu kuishi bila shida yoyote ikiwemo na mechanism zote muhumu za kuregerete maji, hewa na chakula kwa muda ambao binadamu ataishi huku angani. Hii ni kwa sababu hapo duniani kwa Sasa sio sehemu salama kuishi, kwa kifupi hii Dunia haita maliza miaka 150, ukianza kuhesabu tangu mwaka 1960 ambapo sisi mataifa makubwa tuksona tuongeze mikakati ya kujiokoa.

Sasa basi ili kuusogeza sogeza kidogo muda mbele ndio tukaja na program mbali mbali za kupunguza population ili kulinda mazingira hususani kwa nyie masikini ambao mda wote mnawaza starehe na ulozi tuu. Mambo kama magonjwa ya ukimwi, vidonge vya uzazi wa mpango, vita vya wenyewe kwa wenyewe, kuwekewa sumu kwa bidhaa za kula, ushoga nk ni mbinu tuu za kuvuta vuta muda ila tujipange vizuri.

Kwa Sasa kama nilivosema hapo juu tumefikia pazuri sana coz tafiti zimekamilika, technolojia imekuwa na majaribio ya kuishi huku juu yametoa matokeo chanya.

Kwahiyo Sasa mpango unaofuata ni kuindoka huko duniani ili tuiache Dunia ijitengeneze Tena kwa necha yake awali. Tumepanga tunia ibaki tupu walau kwa miaka miatano tukiamini binadamu ataweza kuishi salama kabisa bila shida. Kifupi tunataka kuwahi Dunia kabla yenyewe haijatuwahi.

Sasa basi husifikiri kwamba kila mtu atakuja kuishi huku. Huku watakuja watu wachache sana ni kama asilimia moja tuu ya watu wote duniani. Wapo wanaojijua na wasiojijua lakini utaratibu wa kuwahamisha umeshakamilika na kifupi umeshaanza. Na tumechukua sample kutoka mabara yote duniani lkn kwa vigezo vyetu. Ni kama nuhu tu alivoingiza wanyama kwenye safina ili kulinda race ya wananyama wale.

Sasa kila kitu kikishakaa sawa na kuwatoa watu wetu huko Duniani ndipo Sasa tita launch www3. Ambapo mtaona mnavamiwa na mashines au robots ambapo wao kazi itakuwa ni moja tuu kutekeza nyie paka zote ambao ni unchosen one. Yaani hizi machine zipo very accurate kusense POPOTE alipo duniani. Baadae zitaharibu miundo mbinu yote ya Dunia na kuiacha Dunia flat. Na zitakaa huko kwa miaka 100 ili kuhakikisha hakuna binadamu ambae anasurvive. Baada ya hapo tutazilupua hizo machine.

Kwahiyo ndg if you are not the chosen one in this program ikitokea hiyo vita huponi na hakuna inchi ambayo itasalimika.. kifupi hicho kidunia chenu hakina miaka 100 mbele, tunakilipua.

Wabilah taufiq
Daaah kuna ka ukweli hapa ndo maana elon anahangaika na Starship
 
Marekani iwepo wakati ndio itakua target ya kwanza na Israel
Kwa madudee aliyonayo muamerikaa mmmh sijui nchi gani itakayothubutu maana baada ya kumnyonyoa mrusi kila nnchi iliyobaki ni kama wilaya ukilinganisha na marekani
 
Kwa madudee aliyonayo muamerikaa mmmh sijui nchi gani itakayothubutu maana baada ya kumnyonyoa mrusi kila nnchi iliyobaki ni kama wilaya ukilinganisha na marekani
kwahiyo Urusi atakua ananyonyolewa nae katulia tu anaangalia?
 
Bina damu hawezi panga hatma ya dunia. Ni dunia yenyewe/nature itajiamulia cha kufanya. Kabla ya mipango ya maangamizi yoyote ya kibinadam unazhangaa linaibuka catastrophe moja ambalo linabadili kila kitu
 
Hakuna vita ya 3 ya dunia, hizo chokochoko tu za watu weupe lakin hakuna litakalotokea.

Hakujawai kuwepo vita ya dunia kamwe, bali kulikuwa na migogoro ya baadhi ya mataifa ya wazungu wanaojiona wao ndio wamiliki wa hii dunia, na hawa hawa mpaka leo hii wanaona kila tukio linalotendeka nchini mwano ni kama limetendeka dunia nzima.

Vita zao wenyewe wanalazimisha ziwe za dunia nzima wakati huo kipindi cha hiyo migogoro yao wanayoita Vita, walikuja Afrika wakateka waafrika na wengine kuwalaghai wakiwatumia kama cheap soldiers wa mstari wa mbele vitani huko wakitumika kama pampas.

Kiufupi hizi wanazoita Vita walishiriki mataifa machache huku yakilazimisha na mataifa mengine yawe pande zao ama yasapoti agenda zao.

Ndivyo hata katika hiyo wanayoita vita ya3 ya dunia ambayo kimsingi sio vita bali ni migogoro ya wazungu kwa wazungu ama watu weupe, ikitokea mataifa yao ndiyo yatakayoingia vitani, Afrika pekee ndio itakayopona maana haijihusishi direct na hiyo migogoro ya watu weupe ukiondoa South Afrika yenye kimbelembele kuingilia mambo, pia kuna hao mabepari waarabu wa misri wanaotumiwa kama chambo na majizi wenzao wa magharibi basi hakuna taifa la kuingia katika migogoro ya watu weupe, labda waje wawachukue hawa machotara weupe wenzao huko kaskazini mwa afrika walikopandikiza waarabu ambao ni weupe wenzao.

Kiufupi Kama vita itatokea na itahuisha hizo siraha zao za maangamizi, basi nchi zote zilizopo ktk list ya developed countries zitafutika ktk hiyo list ya utajiri na kurudi zama za ujima na umasikini wa kutisha, ndiomaana China wajanja huwa hawapendi kujihusisha na hii migogoro maana wanajua athari zake japokuwa wana uwezo huo wa kivita, lakini haiondoi ukweli kwamba vita ikitokea nao hawatopona maana wako katika orodha ya washiriki wa vita ama target ya maadui zao.

Hawa jamaa wajanja ndiomaana wanakuja Afrika wananunua ardhi pia wanapandikiza Jamii zao na kuzalisha machotara wao huku ambao watailinda race yao isipotee kama Vita ikiharibu nchi ya asili yao, bila kuwasahau wajanja wengine wanaojaribu kuitoroka dunia na kwenda kuishi sayari zingine ili kukwepa haya madhara, hawa nao hawakwepi kitu maana huko waendako si salama.

Waafrika tungekuwa na akili timamu basi huu ulikuwa ndio muda muafaka wa sisi kujipanga ni namna gani tutaitawala dunia, tutawauzia vipi mazao na bidhaa zetu hawa waathirika wa vita, pia endapo wahisani wetu wanaotusaidia madawa ya mahospitali na huduma zao za kitechnolojia kama vile intaneti, na bidhaa za kielectronics kama vile simu, magari, makompyuta, endapo vita ikaibuka lazima uzalishwaji wa hizi bidhaa na huduma zitasimama hivyo madhara yatatupata mpaka sisi ambao tunajiona tuko salama, je tumejipangaje?

Haya ndio mambo ambayo wenzetu hujiuliza na hutengeneza Plan za muda mrefu ambazo zinaathiri mpaka vizazi vya miaka 50 mbele, lakini sisi huku tuko bize na mamipira ya kishenzi sijui simba&yanga, mamiziki ya kipumbavu, maujinga ya kila aina yaani hatufikili lolote, si viongozi wa kisiasa, si wazazi wala walezi, sio Viongozi wa kidini yaani tuko hovyo na kuhusu hawa mnaowategemea wana dini hawa ndio takataka kabisa hawa hawana wanalolijua zaidi ya miujiza na stories za kutungwa.

Na kuna wajinga wengine wanamngojea Jamaa mweupe mzungu wanaemuita Yesu aje akomboe dunia sijui kitu gani, jamaa mwenyewe aje ashukie hapo israel feki ambako kama WW3 itaibuka basi hiyo sehemu haitokuwa salama je viongozi wa kidini wanayajua haya mambo?

Waafrika tumekuwa vilaza duniani tupotupo nikama tunawasindikiza wengine kimaisha huku sisi tukitumika kukamilisha mipango yao.
 
Kiufupi Kama vita itatokea na itahuisha hizo siraha zao za maangamizi, basi nchi zote zilizopo ktk list ya developed countries zitafutika

Bro uko vizuri, lakini hichi ulichosema ndio cha kuogopa zaidi kwa mataifa ambayo raia hatujawahi pata mikiki ya vita. Ukweli ni kwamba developed country ni nchi zinazopenda usawa, zinazolinda maslahi ya mnyonge sasa endapo wakifutikaa baada ya vita kuna mambo yatafwata. Mojawapo ni Kama kuenea kwa vita ya kidini, hili lipo wazi kabisa Taliban, Issis, alshababu nk

Yaani vita sio lazima taifa lipambane na taifa lingine, laa ata raia kupigana wenyewe kwa wenyewe ni vita ambayo haiishi. Kwa raia wa nchi za Congo na Somalia wala hawatapata shida ukilinganisha na mataifa mengine yasiyo na Vita, hasa waathirika wakuu makundi ya kina mama na watoto. Wamama wa hizi nchi wanajua vitu vya kubeba na kukimbilia maporini pale mtifuano ukisogea makazi yao, wengine wanajua hadi kushika SMG, Ak pia wanajua siri moja KUBWA! Je binadamu anaweza ishi siku ngapi bila Kula?

Waafrika tusahahu kuwafikia maarifa hawa ndugu zetu wa mataifa, washatangulia sana mpaka kuna teknolojia kwao zinakua obsolute wakati hata hazijakanyaga Africa! Na wala hatuna haja ya kumlaumu yeyote kutokana na condiction yetu, it is what it is. Hata kwenye mwili wa binadamu kuna sehemu zinabidi ziwe unyayo ili kukanyaga mavumbi, nyingine kwa ajili ya kutoa taka mwilini.
 
Back
Top Bottom