Nyingi tu....used and newMkuu nina swali nje ya mada. upatikanaji wa spea za starlet ukoje?
ok nashukuru, kuna mtu alinitisha kwamba spare za starlet na duet ni za shida coz hiyo kampuni haitengenezi tena magari hayoNyingi tu....used and new
Hapana...mm mwenyewe nina duet na spare napata kama kawaok nashukuru, kuna mtu alinitisha kwamba spare za starlet na duet ni za shida coz hiyo kampuni haitengenezi tena magari hayo
Duet haikusumbui engine? uko mkoani au Dar? nafikiria kuchukua duet au starlet. kwa sasa namiliki phoenix (baiskeli) new modelHapana...mm mwenyewe nina duet na spare napata kama kawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeniacha hoi mkuuDuet haikusumbui engine? uko mkoani au Dar? nafikiria kuchukua duet au starlet. kwa sasa namiliki phoenix (baiskeli) new model
Bora niwe mkweli tu! mambo ya kujisifia uongo siyo ishu kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeniacha hoi mkuu
Kweli mkuu Mi mwenyewe sina hata hio baiskeliBora niwe mkweli tu! mambo ya kujisifia uongo siyo ishu kabisa
Oil ya gear box ikipungua , inasababisha gari kuwa nzito , hasa kwa hilo tatizo inawezekana kupungua kwa oil[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeniacha hoi mkuu
Badilisha fundi. Kwani huyo anakutengenezea bure au ni shemeji yako?habari,
Nina tumia gari ndogo, aina ya toyota starlet, gari imekua nzito sanaa, hvyo kufanya isiwe na mwendo wa kasi,
nilipeleka kwa fundi akatengeneza ila tatzo halikupona, nikarudisha tena, baada ya km siku tatu, bado naona tatzo linaendelea.
naomba mwongozo kwa wenye ufahamu wa kutosha katika hili.