Matairi

Yombe

New Member
Joined
May 4, 2019
Posts
4
Reaction score
0
Je Matairi yanayotoka na gari Japan πŸ‡―πŸ‡΅ yanafaa kwa safari ndefu? Msaada please πŸ™
 
Yes kama bado ni mazima na imara, mchek fundi ayaangalie kwanza kama yana ubora wa kupiga route ndefu
Mimi nilipiga nayo kutoka Dar mpk Tarime na kurud yakiwa mazima
 
Yes kama bado ni mazima na imara, mchek fundi ayaangalie kwanza kama yana ubora wa kupiga route ndefu
Mimi nilipiga nayo kutoka Dar mpk Tarime na kurud yakiwa mazima
Ni mapya kabsa ila watu wanavyosema matairi kutoka nje yanakuwa sio imara kwa ajili ya barabara zetu
 
muda wa kuishi ni muhimu kuangalia katika tairi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…