Matajiri ndio wanaoongoza kuchapiwa wake zao! Wako bize na pesa na hawajui thamani ya tendo la ndoa!

Matajiri ndio wanaoongoza kuchapiwa wake zao! Wako bize na pesa na hawajui thamani ya tendo la ndoa!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Mara nyingi tunapishana gesti na wake za matajiri hapa mjini! Na wanaowanyandua ni vijana wa kawaida kabisa kama boda boda au ma house boy wao!

Mnafeli wapi? Nyinyi matajiri? Wanyandueni wake zenu kwenu hawajafuata hela wamefuata mapenzi wapeni haki zao !
 
tafta hela dogo.acha kufatilia yawatu.uwetajiri usiwe tajiri utagongewa tuu.kugongewa hakuhusiani nautajiri Wala nini..
 
pesa nimuhimu kuliko wivu kwa mkeo sasa linda mke mpaka siku watakapo kunyang'anya uanze lalama ooh wananionea kisa masikini
Nb
Kizuri kula nawenzako ukiona hilo tunda unakula pekea ujue nisumu[emoji23]

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mtu mpaka Kawa tajiri ana akili

Na ukishakuwa na akili sidhani kama uta-deal sana na mapenzi as if ndio mission yetu hapa duniani

Masikini wakiume na wanawake wengi wana akili moja, Wanawaza kutiana tu
 
Sijui nipambane niwe tajiri au nibaki na kazi ya pikipiki?

Anyway,Bora tu udereva ..mke anauma aiseeh😅
 
Mambo kama haya ndio yanachochea kuona uchakataji wa mbususu kuwa big deal wakati ni suala la kawaida tu tena nyeti. Hii inafanya wanaume wengi kuipa ngono kipaumbele badala ya kazi na ndoto zao.
 
Kutokana na maelezo ya mleta mada ni kuwa dereva pikipiki nafasi ya kuchapiwa ni ndogo sana 😅
Mara nyingi wanawake wanatoa mzigo kwa boda boda ili ibaki kuwa siri boda asivujishie mahali anampompeleka mteja wake
 
Mara nyingi tunapishana gesti na wake za matajiri hapa mjini! Na wanaowanyandua ni vijana wa kawaida kabisa kama boda boda au ma house boy wao!

Mnafeli wapi? Nyinyi matajiri? Wanyandueni wake zenu kwenu hawajafuata hela wamefuata mapenzi wapeni haki zao !
Subiri nawe upate utajiri
 
Matajiri wanaongoza kuoa malaya nadhani hilo ndo ulipaswa kusema

Wanapata wanawake wanaowapendea Mali tu
 
Back
Top Bottom