Matajiri tujifunze kwa YAHOO

Matajiri tujifunze kwa YAHOO

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Sio kisa kimoja kwa kwa matijiri hata facebook yenyewe ilitokea kwenye whatsapp.

miaka ya 90 kampuni ya yahoo ilikuwa ndio namba moja kama unavyo tumia google na JF leo hapa jukwaani.

Mwaka 1998 kutokana kuwa ndio kampuni kubwa tajiri,Google wakati inaanza ilikataliwa kununuliwa na Yahoo kwa kiasi cha dola milioni 1.

Mwaka 2002 Yahoo ikaleta masihala kutaka kununua kwa dau la USD BILIONI 3 wakati google ilitaka kiasi cha USD BILION 5 na kutupilia mbali dau ilo.

mwaka 2008 yahoo ikaja kujichanganya kununuliwa na microsoft kwa dau kiasi cha USD BILION 40.

mwaka 2016 yahoo kutoka microsoft iliuzwa kwa kampuni ya verizon kwa kiasi cha usd bilion 4.6.

Nampa sasa yahoo kama imepotea ?.
kisa hiki sio kimoja tujifunze mfano mdogo kwa waliopo nyuma yetu .

SOMO KWENU JF
WWWW.jpg
 
Kwisha kupo ila kubwa kwenye biashara ukitaka kufanikiwa kila siku we nenda na trend ya biashara, ikitokea biashara mpya we iwahi anza kupiga hela kabla watu hawajaisanukia sana na kuwa ya kawaida.
 
Sio kisa kimoja kwa kwa matijiri hata facebook yenyewe ilitokea kwenye whatsapp.

miaka ya 90 kampuni ya yahoo ilikuwa ndio namba moja kama unavyo tumia google na JF leo hapa jukwaani.

Mwaka 1998 kutokana kuwa ndio kampuni kubwa tajiri,Google wakati inaanza ilikataliwa kununuliwa na Yahoo kwa kiasi cha dola milioni 1.

Mwaka 2002 Yahoo ikaleta masihala kutaka kununua kwa dau la USD BILIONI 3 wakati google ilitaka kiasi cha USD BILION 5 na kutupilia mbali dau ilo.

mwaka 2008 yahoo ikaja kujichanganya kununuliwa na microsoft kwa dau kiasi cha USD BILION 40.

mwaka 2016 yahoo kutoka microsoft iliuzwa kwa kampuni ya verizon kwa kiasi cha usd bilion 4.6.

Nampa sasa yahoo kama imepotea ?.
kisa hiki sio kimoja tujifunze mfano mdogo kwa waliopo nyuma yetu .

SOMO KWENU JF
View attachment 2945762
Katika maisha sio mpaka ufanye makosa ndio upoteane. Sometime unaweza ukafanya kila kitu kwa usahihi lakini bado mambo yakakuendea kinyume. So, sio kwa matajiri tu hii ni kwa wote, tujifunze kuendana na mazingira haijalishi hata kama tunafanya vizuri sana. Refer issue ya Nokia, hakuna walipokosea isipokuwa walishindwa kuendana na mazingira.
 
Katika maisha sio mpaka ufanye makosa ndio upoteane. Sometime unaweza ukafanya kila kitu kwa usahihi lakini bado mambo yakakuendea kinyume. So, sio kwa matajiri tu hii ni kwa wote, tujifunze kuendana na mazingira haijalishi hata kama tunafanya vizuri sana. Refer issue ya Nokia, hakuna walipokosea isipokuwa walishindwa kuendana na mazingira.
KWELI LEO UNANIKUMBUKA LENOVO KUWA SUPER BRAND WA COMPUTER KULIKO TOSHIBA
 
Sio kisa kimoja kwa kwa matijiri hata facebook yenyewe ilitokea kwenye whatsapp.

miaka ya 90 kampuni ya yahoo ilikuwa ndio namba moja kama unavyo tumia google na JF leo hapa jukwaani.

Mwaka 1998 kutokana kuwa ndio kampuni kubwa tajiri,Google wakati inaanza ilikataliwa kununuliwa na Yahoo kwa kiasi cha dola milioni 1.

Mwaka 2002 Yahoo ikaleta masihala kutaka kununua kwa dau la USD BILIONI 3 wakati google ilitaka kiasi cha USD BILION 5 na kutupilia mbali dau ilo.

mwaka 2008 yahoo ikaja kujichanganya kununuliwa na microsoft kwa dau kiasi cha USD BILION 40.

mwaka 2016 yahoo kutoka microsoft iliuzwa kwa kampuni ya verizon kwa kiasi cha usd bilion 4.6.

Nampa sasa yahoo kama imepotea ?.
kisa hiki sio kimoja tujifunze mfano mdogo kwa waliopo nyuma yetu .

SOMO KWENU JF
View attachment 2945762
kuna funzo kubwa sana hapa
 
Back
Top Bottom