Haumsemi Msukuma hapo?Kimsingi ukiona mbwembwe zake ,,,unaweza kudhani ni tajiri.
Ukweli ni kwamba yeye si tajiri......hana SOLID BASE/
Matajiri hawana TABIA za hivyo(Hovyo).....
Alipata kutokea tajiri mmoja miaka ya sabini mwishoni na themanini mwanzoni,aliitwa 'Taitas' (Mmasai)
Alikuwa anatembea na msafara wa Range Rover, Mercedes Benz na Peugeot 504.
Baadae alikuja kufulia,
Sembuse yeye....
"Time will tell"
Ulipotaja mmasai nikakumbuka yule aliyepata utajiri wa madini kwa ghafla, almaarufu askofu, aliokuwa anapanda juu ya ghorofa na kurusha manoti barabaraniKimsingi ukiona mbwembwe zake, unaweza kudhani ni tajiri.
Ukweli ni kwamba yeye si tajiri hana SOLID BASE/
Matajiri hawana TABIA za hivyo(Hovyo).....
Alipata kutokea tajiri mmoja miaka ya sabini mwishoni na themanini mwanzoni,aliitwa 'Taitas' (Mmasai)
Alikuwa anatembea na msafara wa Range Rover, Mercedes Benz na Peugeot 504.
Baadae alikuja kufulia,
Sembuse yeye.
"Time will tell"