rajabu hosea
New Member
- Apr 6, 2012
- 1
- 0
Watanzania, ukitaka kujua rushwa imekithiri kupita kiasi ni kuhusu kesi inayoendelea hivi sasa katika mahakama zetu.
Kesi hiyo ina husu mfanya biashara ya ngozi za ng'ombe wa anaitwa Salum Ally ambaye anatuhumiwa kwa kufanya biashara ya kuuza binaadamu kwa kuwapeleka katika nchi ya yemen.
Kesi hii ni ya kutunga ambayo mfanya biashara wa D'salaam anayejulikana kwa jina la mahonda ambaye pia ni mwarabu amenunua vyombo vya sheria serikalini kumkomesha mfanyabiashara mwenzie,walioshindwa kuelewena katika biashara zao.
ningeomba vyombo vya habari vifanye utafiti kuhusu kesi hii isiyokuwa na hata chembe ya ukweli. kama kuhusu watanzania kwenda kufanya kazi nje ya nchi kwa kutumwa na raia wanaoishi hapa tanzania,wapo wengi sana hivi sasa nchi za nje.
katika karne hii utawezaje kumchukua binaadamu kichwa kichwa kumpeleka kufanya kazi za kitumwa ,huyo atakuwa mwendawazimu. Naomba serikali ichunguze kesi ambayo inatia aibu kwa watanzania wa sasa kama tunaweza kusafirishwa bila kujua nini tunaenda kufanya nchi za nje.
ndugu mahonda ubaya unaomfanyia mwenzio ipo siku siri zako zitaanikwa kwa biashara unazofanya hapa Tanzania na matajiri wa nchi za kiarabu ambao wanahusishwa na mitandao ya kigaidi.
Kesi hiyo ina husu mfanya biashara ya ngozi za ng'ombe wa anaitwa Salum Ally ambaye anatuhumiwa kwa kufanya biashara ya kuuza binaadamu kwa kuwapeleka katika nchi ya yemen.
Kesi hii ni ya kutunga ambayo mfanya biashara wa D'salaam anayejulikana kwa jina la mahonda ambaye pia ni mwarabu amenunua vyombo vya sheria serikalini kumkomesha mfanyabiashara mwenzie,walioshindwa kuelewena katika biashara zao.
ningeomba vyombo vya habari vifanye utafiti kuhusu kesi hii isiyokuwa na hata chembe ya ukweli. kama kuhusu watanzania kwenda kufanya kazi nje ya nchi kwa kutumwa na raia wanaoishi hapa tanzania,wapo wengi sana hivi sasa nchi za nje.
katika karne hii utawezaje kumchukua binaadamu kichwa kichwa kumpeleka kufanya kazi za kitumwa ,huyo atakuwa mwendawazimu. Naomba serikali ichunguze kesi ambayo inatia aibu kwa watanzania wa sasa kama tunaweza kusafirishwa bila kujua nini tunaenda kufanya nchi za nje.
ndugu mahonda ubaya unaomfanyia mwenzio ipo siku siri zako zitaanikwa kwa biashara unazofanya hapa Tanzania na matajiri wa nchi za kiarabu ambao wanahusishwa na mitandao ya kigaidi.