zebedayo musibha
Senior Member
- Oct 26, 2019
- 111
- 86
Asingekuwa hai mpaka leoAnaongea kwa kuzingatia awamu iliyopita hivyo nachelea kusema amechelewa sana alipaswa kutamka May 2020
Ndo maana akili yake alipeleka likizo ila saivi imeanza kurudi baada ya jiwe kuangukaAsingekuwa hai mpaka leo
Anaujua vizuri moto wa diktetaNdo maana akili yake alipeleka likizo ila saivi imeanza kurudi baada ya jiwe kuanguka
Halafu kuna wakati na wewe huwa unafanana kwa kila kitu na huyo Ndugai eti! Sijui mlizaliwa mapacha!! 🤔Ndugai anarudi katika ubora wake!
Tabu tupuHalafu kuna wakati na wewe huwa unafana kwa kila kitu na huyo Ndugai eti! Sijui mlizaliwa mapacha!! 🤔
Angevuliwa u spikaNdugai sasahivi ndiyo anajiona yeye ni baba wa nchi, enzi za dikteta asingethubutu kuhoji.
Kuna mawiliJe, Spika anamaanisha kuwa katika kuajiri serikali inaegemea ukanda na ukabila?
Ikiwa ufuatiliaji huo ni kwania njema ya dhati ya moyo wake na ikiwa lengo ni kuiunga mkono awamu ya sita,itakuwa ni jambo jema sana.Mapema leo 24/05/2021, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai amezitaka kamati kufatilia mchakato wa ajira za walimu zilizotangazwa kwa uwazi na ukweli.
Pia ameonyesha kutoridhika na ajira zilizotolewa mwaka jana huku ikionyesha kanakwamba hakuna uwazi katika kuajiri. Nimekuwa na maswali kuhusu hili.
Je, hapa Spika anamanisha kuwa katika kuajiri walimu serikali haiko wazi?
Je, Spika anamaanisha kuwa katika kuajiri serikali inaegemea ukanda na ukabila?
Je, Spika anamaanisha hapa Tanzania kuna aina ya watu fulani ndio wanafaa kuwa walimu?
View attachment 1796302
8000 wapi wakati waliopata hata 500 hawakufikaMapema leo 24/05/2021, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai amezitaka kamati kufatilia mchakato wa ajira za walimu zilizotangazwa kwa uwazi na ukweli.
Pia ameonyesha kutoridhika na ajira zilizotolewa mwaka jana huku ikionyesha kanakwamba hakuna uwazi katika kuajiri. Nimekuwa na maswali kuhusu hili.
Je, hapa Spika anamanisha kuwa katika kuajiri walimu serikali haiko wazi?
Je, Spika anamaanisha kuwa katika kuajiri serikali inaegemea ukanda na ukabila?
Je, Spika anamaanisha hapa Tanzania kuna aina ya watu fulani ndio wanafaa kuwa walimu?
View attachment 1796302
Kwani alikuwa ametoka huko,na mbona hukuwahi kutujulisha unatujulisha leo kulikoni?Ndugai anarudi katika ubora wake!
Akasema Unajua wanaosimamia Ajira nao ni binadamu wanaweza angalia wanapotokea tu. Spika kashauri Wabunge wafatilie angalau kila Jimbo wapate nafasi kwa Vijana ambao wana vigezo ..... Video inanishinda kuipandisha Hapa Wakuu