Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu kama hii mwanaume yeyote rijali lazima ageuke angalau ashangae tu, hata kama kaongozana na mpenzi wake lazima akate shingo
bwa ha ha ha ha hata sura kaificha.....mkuu fidel inakuwaje watuogopesha na kitu hiki?miguuu kama ya nsajigwa.
wimeni ara soo wikinadhani kutamani ni kwa kila mtu!sema tu inategemea unajizuia vpi,tusiongelee uwingi lkn mm kama mdada pia natamani,unaweza kumtamani mtu kwa muonekano wake,utanashat wake,uongeaji wake,uelewa wake,mali zake alizonazo,tabasam lake,uchafu wake,upole wake etc lakini maadili yangu hayaniruhusu kumwambia langu la moyoni labda nikivuka mipaka sana ntamwambia kaka umependeza lkn siwezi kusema kaka nakupenda,sasa mtu kama huyu akinitokea tu atapata chenga ndogo tu labda mwezi maana tayari na mm nina nterest zangu kwakwe.
wimeni ara soo wiki
nadhani kutamani ni kwa kila mtu!sema tu inategemea unajizuia vpi,tusiongelee uwingi lkn mm kama mdada pia natamani,unaweza kumtamani mtu kwa muonekano wake,utanashat wake,uongeaji wake,uelewa wake,mali zake alizonazo,tabasam lake,uchafu wake,upole wake etc lakini maadili yangu hayaniruhusu kumwambia langu la moyoni labda nikivuka mipaka sana ntamwambia kaka umependeza lkn siwezi kusema kaka nakupenda,sasa mtu kama huyu akinitokea tu atapata chenga ndogo tu labda mwezi maana tayari na mm nina nterest zangu kwakwe.
Hayo ndo matamanio ya mwili akija mtu ambae ndo target yako basi ni rahisi kwake au?
Hilo fulushi mtoto si anakaa kabisa hapo?
hata huo mwezi, Pearl bado mrefu sana,
hebu punguza tena kidogo!!!!!!!