Mr. SADC_TZ
Senior Member
- Nov 7, 2014
- 105
- 22
Heshima kwenu wakuu. Binafsi ningependa kujua swala moja tu, kila mtu humu ndani anajua jinsi lugha ya Kiswahili inavyo tumika (kutamkwa/kuzungumzwa) mara nyingi na makabira ya bara na baadhi ya nchi jirani. je matumizi hayo mabaya ya lugha yetu itasaidia kukuza, kusambaza au kuua lugha yetu...?
Mf:- SURA YAKO MUZURI/SURA YAKO NZURI.
TUSHAURIANE JAMANI....!
Mf:- SURA YAKO MUZURI/SURA YAKO NZURI.
TUSHAURIANE JAMANI....!