Mr. SADC_TZ
Senior Member
- Nov 7, 2014
- 105
- 22
Aliyekupa wewe, au wengine wowote, mandate ya kuwa viranja wa kusimamia matumizi "sahihi" ya lugha ya Kiswahili ni nani?
Pamoja na ukweli kwamba Kiswahili ni lugha yetu ya taifa na kwamba sisi tunapaswa kuongoza lugha hii kwa E.A ukweli ni kwamba kimataifa tunaburuzwa na Kenya na nchi zingine. Mikutano mingi ya kimataifa niliyohudhuria translators wa kiswahili siyo wa Tz. Pia juhudi zetu za kuinua kiswahili fasaha ni ndogo, angalia media,hasa radio zinavyopotosha na kuharibu kiswahili.
Heshima kwenu wakuu. Binafsi ningependa kujua swala moja tu, kila mtu humu ndani anajua jinsi lugha ya Kiswahili inavyo tumika (kutamkwa/kuzungumzwa) mara nyingi na makabira ya bara na baadhi ya nchi jirani. je matumizi hayo mabaya ya lugha yetu itasaidia kukuza, kusambaza au kuua lugha yetu...?
Mf:- SURA YAKO MUZURI/SURA YAKO NZURI.
TUSHAURIANE JAMANI....!
Heshima kwenu wakuu. Binafsi ningependa kujua swala moja tu, kila mtu humu ndani anajua jinsi lugha ya Kiswahili inavyo tumika (kutamkwa/kuzungumzwa) mara nyingi na makabira ya bara na baadhi ya nchi jirani. je matumizi hayo mabaya ya lugha yetu itasaidia kukuza, kusambaza au kuua lugha yetu...?
Mf:- SURA YAKO MUZURI/SURA YAKO NZURI.
TUSHAURIANE JAMANI....!