Matangazo ya Biashara kwenye TV Tanzania

Matangazo ya Biashara kwenye TV Tanzania

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Nimeona kama vile makampuni ya kutengeza matangazo ya TV bado hayajapata wataalamu wazuri. Matangazo mengi ya biashara kwenye TV huwa ya kupayuka sana tena kwa sauti za juu sana inabidi mtu upunguze volume.

Je, wenzangu mnayaonaje; je yanafikisha ujumbe kweli au yanahitajui kuboreshiwa ziaidi?
 
Kama wewe usivyombunifu,mwenzako jana kapost uzi kuhusu matangazo ya pedi na condom na wewe unarudia kile kile tunga ya kwako
 
Back
Top Bottom