Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Wapi hiyoView attachment 1860091
Anando Milk
Kama ningekuwa mtoto, na ningeambiwa kwa kunywa maziwa ya kampuni ya Anando nitapata nguvu za kuweza kuhamisha maghorofa kadhaa ya jengo, hakika ningeamini.
Tangazo konki sana hili
Wapi hiyo
Unajua sana kuzifanya siku zangu ziwe nzuri na zenye furahaNaogopaaaa....
Mama atanchapaaa.....
Nimekatazwa kula kwa watu 🤪.
Duuuuu!!!!!!!
Unajua sana kuzifanya siku zangu ziwe nzuri na zenye furaha
Asante sanaKaribuuu....!
Namalizia kutemgeneza kachumbari.
Pilau kuku 😋.
Hayo si manati mkuu 😂😂😂View attachment 1860111
Tangazo hili la kusisitiza umuhimu wa kufunga mkanda wa usalama unapokaa kwenye kiti cha nyuma cha gari, jamaa aliye buni ni bonge la genius kama Extrovert
Kama Sokoine akajikuta ghafla Yuko kwenye windscreenHayo si manati mkuu 😂😂😂
Dah wanadai wameitengenezaga ile storyKama Sokoine akajikuta ghafla Yuko kwenye windscreen
Mabwingwa wa the art of story telling Kama kawaida wanajua walichokifanya kisha yakaletwa magiriniDah wanadai wameitengenezaga ile story
Mbona haurudi tu? Au na wewe unaogopa kichapo cha Wayahudi?Nitarudi
Ohooooo tena
Subiri nitafute la jambo ndogoHakuna tangazo ' Ra kizarendo'.