Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Yani we ki.laza kweli unajua maana ya mtu kua "curious"???Kosa - marangazo
Sahihi - matangazo
Kosa - curious
Sahihi - serious
Lugha husika - makini badala ya neno "serious "
Napita tu.......
Curious is adjective word.Yani we ki.laza kweli unajua maana ya mtu kua "curious"???
Kama huna uhakika kaa kimya!
Curious is adjective word.
The means is eager to know or
Learn something.
Maana yake ni shauku ya kujua
Au kujifunza kitu fulani.
Hili neno nimelielewa vilivyo
Ila kwa huu Uzi hakumaanisha hivyo
Lugha hubadilika kutokana na mazingira.
Usipaniki mkuu.
We pita tu
Stop shobo.
Wewe acha kujivua nguo
wewe ulikua kichwani kwangu hadi useme sikumaanisha neno lipi nitumie?
unajivua nguo kwa umbumbumbu hapa
[emoji16] [emoji16] [emoji95] [emoji379]
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Nyie ndo wale mlivokua shule mlikua mnajibu jibu maswali ila necta mnataga.Curious is adjective word.
The means is eager to know or
Learn something.
Maana yake ni shauku ya kujua
Au kujifunza kitu fulani.
Hili neno nimelielewa vilivyo
Ila kwa huu Uzi hakumaanisha hivyo
Lugha hubadilika kutokana na mazingira.
Usipaniki mkuu.
We pita tu
Stop shobo.
[emoji16] [emoji16] [emoji95] [emoji379]
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Bahati nzuri sijasoma sekondari.Nyie ndo wale mlivokua shule mlikua mnajibu jibu maswali ila necta mnataga.
Mtoa mada yupo 'curious' we unalazimisha awe 'serious'.
Anaitwa fundi AVICCIHuu wimbo uliimbwa na nani?
PoleBahati nzuri sijasoma sekondari.
Nimesoma la saba mwisho.
But am very creative in English language better than you my bwoy.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Pole
Watu wa branding wanaelewa wanachokifanya coke ni kuhakikisha wao ni brand namba 1 ya vinywaji hivyo. Kufanikiwa hilo ni pamoja na kutengeza mtazamo kwa watumiaji na wasio watumiaji na ndio hivyo matangazo haswaa. Kuna uhusiano mkubwa wa top brands na advert budget. Angalia orodha ya wavunja bank kimatangazo na brand rank zao. Cocacola ni brand ya 4 kwa umaarufu lakini ya 7 kwa gharama za matangazo.
The top 10 advertising budgets for 2016 are as follows:
- Pampers - $8.3bn (Ranked 50th most valuable brand)
- Gillette - $8.3bn (28th)
- L’Oreal - $8.2bn (34th)
- Chevrolet - $5.1bn (59th)
- Louis Vuitton - $4.4bn (19th)
- Ford - $4.3bn (35th)
- Coca-Cola - $4bn (4th)
- Amazon - $3.8bn (12th)
- Sony - $3.7bn (76th)
- AT&T - $3.6bn (13th)
- Lexus - $3.6bn (63rd)
- Toyota - $3.6bn (6th)
- Samsung - $3.3bn (11th)
- NIKE - $3.2bn (18th)
- Google - $3.2bn (2nd)
- American Express - $3.1bn (24th)
- T-Mobile - $2.9bn (93rd)
- Nissan - $2.8bn (70th)
- Verizon - $2.7bn (21st)
- Chase - $2.7bn (65th)
No 3 yupo ni google, namba 2 ni samsung pia yupo. Anaekosa hapo ni no 1 ambao ni Apple nadhani falsafa yao haipo kwenye kujitangaza.Ajabu kwenye orodha yako sioni no 1 hadi 3 brand
halafu anaetumia hela nyingi ni no 50?
duh
Mhh hawa Pepsi nao naona biashara imewawia vigumu..nani ufungue kampuni akupe patent/trademark faida ule na matangazo akulipie??tafakariKuna mtu namjua yuko pepsi nilimuuliza mbona coca cola wanauza kuliko nyinyi yet wanatangaza kuliko nyinyi? Jibu lake ni kuwa coca cola brand ya huko ilikotoka wanagharamia matangazo ya cocs cola hadi hapa TZ wakati pepsi tz inabidi wajigharamie wenyewe matangazo.
Coca-Cola one of the world's famous brands...nadhani the most famous actually, nchi yoyote utakuta hiki kinywaji...wanatoa patent kwa bottling companies nyingi sana duniani lakini swala la marketing, flavor na standard ya vinywaji ni uniform dunia nzima..ndo mana tangazo la Marekani na bongo unaangalia na unalielewa, Marketing haijatoka kwa Coca-Cola Company wenyewe wale wa Atlanta Us,huko soda hii ilipoanzia
Mfano bongo utaona kuna kiwanda cha mengi moshi,cha gachuma mwanza na mikocheni alichouza mengi, ni kampuni tofauti zinazotengeneza kinywaji kimoja...technique na policy za marketing ni uniform zikiongozwa na wenye brand wenyewe, yani wale waliowapa hawa wabongo formula nk kutengeneza hizo soda zao..ishu ya bajeti yao usipimee...
Hahahha nalipenda la waafrika zaidi they nailed it even more nadhaniKuna lingine la kizungu
Yawezekana kila mtu anachangia gharama kwa Coca-Cola Company wenyewe afu jamaa wanapata hela ndefu wanaongezea na wao then wanatoa matangazo haya kila saaMfano je hapa TZ Gachuma na Mengi na huyo mwingine wana share strategies?
na bajeti ya matangazo?
Ofcz Voda mikoani watu huwaambii kitu,na huko hawajui hata habar za vifurushi wao wanaweka credit tuVoda ni mtandao wa kuaminika kwa mikoani na internet ndo maana
wana jeuri ya kupandisha gharama
Hahah anatumia Tecno alafu,sio kosa lake lolWewe acha kujivua nguo
wewe ulikua kichwani kwangu hadi useme sikumaanisha neno lipi nitumie?
unajivua nguo kwa umbumbumbu hapa