Matangazo ya kupima na kuanza ARVs

Matangazo ya kupima na kuanza ARVs

mavado

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2014
Posts
1,153
Reaction score
798
Hello wakuu, naomba kuuliza hivi mbona siku za hivi karibuni matangazo redioni ya kupima na kuanza kutumia ARVs mapema yamekuwa mengi sana na haipiti sekunde, tangazo hilo hapo, mbaya zaidi kwa hisani ya watu Marekani, kwanini isiwe Uchina au Japan.
Something not right.
 
Ni matangazo ya dawa hayo ili kiwanda cha arvs wauzeee
 
Labda mambukizi yanaongezeak wanaongeza nguvu kuyakabili.

Au una conspiracy theory gani huko?

UKIMWI haupo na ni biashara ya ARVs tu?

Wazungu wanataka kuwaua Waafrika kwa ARVs?

Kuna conspiracy theory gani mpya hatujaisikia bado?
 
Back
Top Bottom