Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,245
kiukweli hizi website za vyuo mnatutesa sana wenye simu za kawaida na tusokuwa na pc kwa maana kila tangazo la maana kama ada, taratibu za kujiunga na chuo, sheria vyote hivi vipo katika mfumo wa pdf files, tunakosa kufuatilia mambo ya muhimu kwa haraka sababu ya hili jambo