kiukweli hizi website za vyuo mnatutesa sana wenye simu za kawaida na tusokuwa na pc kwa maana kila tangazo la maana kama ada, taratibu za kujiunga na chuo, sheria vyote hivi vipo katika mfumo wa pdf files, tunakosa kufuatilia mambo ya muhimu kwa haraka sababu ya hili jambo
Mkuu nenda Play store andika Pdf zitakuja app kibao za kudownload Pdf files then instal ktk simu yako. Documents zote za Pdf utaweza kusoma na kureview za zamani kwa kukilick pdf app ktk cm yako au storage then documents.
Pia kuna hii app ya WPS Office iko Play store inafungua kila document uki install.
Kuhusu uwezo wa simu yako sifahamu mkuu make IT ilinipita kushoto. Ila kama ni Android ina uwezo huo.