mim nafikir tangazo ni zur ila inategemea limewekwa sehem gan,kama limewekwa katika ofisi ya elimu hakuna tatizo kwa vile ni sehemu husika,kuhusu vibaka hata kama hawakuona tangazo wakiamua kukukaba watakukaba tu,jamaa zako kuwapa au kutowapa hela ni uamuzi wako mwenyewe.Vp mbona salar slip zimezagaa pale masjala tena wengine tunaona aibu kuzichukua kutokana na maden na kila mtu anaziona lakin hatulalamik,Vp majina yetu ya ajira yalivyoanikwa kwenye mitandao je hatukupata usumbufu kwa vibaka wa mitandao na jamaa wanaoujua kuwa sasa tumepata ajira?,nadhani kuna haja ya kufikiria nje ya box as a great thinkers.