Matangazo mengi ya redio siku hizi yamekuwa ya kawaida Sana angalau lile na Mangi Ndooroboo weeh lilikuwa na ubunifu na entertainment ndani yake kiasi likawa gumzo kwa wasikilizaji....
Achilia mbali redio Television pia siku hizi marketing agents mmelala mnaweka matangazo ya kawaida au yaliyo chini ya kiwango... matangazo yaburudishe kv enzi za chai jaba, jambo lotion nk...
Matangazo ili yauze zaidi yawe entertaining...ni ushauri tu marketing agencies