sura ka unajiandaa kupiga chafya!
Ayayayaa....umenichokoza...
we ni mweusi mpaka unaacha fingerprints kwenye mkaa!!!!
hehehe! hapo unautani na Mama anna mkapa ila dah mkuu umemuweza ..mentor upooooo ??!!! inaelekea nyie wawili mlikuwa wagomvi sana enzi zenu
twende twende twende familia yenu wengi mpaka picha yenu ya familia inasema to be continued...
hahaha..wewe ni mweusi hadi ukipigwa picha inaandikwa 'scratch to reveal'..twende twende..
Wewe ni mweusi mpaka ukipigwa group picture wanakuandika jina pale ulipokuwa..
twende twende..
wewe ni mweusi mpaka...wewew!!!!!!
Mwangalie kwanza..una kichogo kikubwa mpaka ukiinamisha kichwa kwa nyuma kinaingia back pocket!
Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!
Najikumbushia tu...(usinichukie...)
Unataka matani..
Nyani ngabu, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende..
Fidel, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack...
Mzee mwanakiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO..
Aspirin unamashavu kama mimba ya panya..
Na wewe Tukutuku uso kama shamba la matuta...
Unataka unataka..
Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh..
Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuitisha tochi...
PS: On a light touch...
Ayaaa...hilo ni tusi, wacha nikupe lako:
Wewe ni mbaya mpaka birth certificate yako ni apology letter from the condom factory!
Rose1980: yaani wewe unangozi imekomaa mpaka ukikonyeza mguu mmoja unainuka!!!
hahahaha...na wewe ni mbahili mpaka unapumua na pua moja!!!
Mwangalie kwanza..kwenu ni mbali mpaka ukitumiwa sms inafika ikiwa na vumbi!