Matapeli huko FB wanaotumia account ya kiongozi mkuu wa freemason kuibia watu

putwiche

Member
Joined
Sep 27, 2016
Posts
59
Reaction score
22
Tunakukaribisha ujiunge na FREEMASONS leo, ili uboreshe maisha yako, uwe Tajiri mkubwa, kuwa msanii mkubwa, Umaarufu, Uongozi, Kupendwa na watu wote, Kufaulu katika masomo yako n.k, Jinsi ya kujiunga, unatakiwa utume majina yako kamili, PAMOJA na ada Tsh 6600/= na kisha utapiga simu namba 0655 13 47 48 na utapata taratibu kamili, Tupo DSM -POSTA MPYA, Sokoine - Drive! (FREEMASONS TUNAFANIKISHA NDOTO ZAKO, piga simu 0655 13 47 48 POPOTE ULIPO TUTAKUSAIDIA)
 
na wabongo wanavyopenda slope, jamaa atakuwa amepiga sana
 
Ule utafiti wa machizi ulikuwa sawa karne hii unatapeliwa kibwege namna hii kweli
 
Na wengine wanatumia account ya Halima mdee kufanikisha utapeli wao

Wanayo apps play store ambayo ina hack maongezi ,ukisha install inabidi utume 50,000 ili upewe code

Wapenda slope wengi wanapigwa
 
Freemasons hawashuguliki na MTU masikini hatawasaidia nn hawataki mizigo wala hawana Wakala wala hawatoi matangazo kupata memba
 
Freemasons hawashuguliki na MTU masikini hatawasaidia nn hawataki mizigo wala hawana Wakala wala hawatoi matangazo kupata memba
Watoayo matangazo hayo ni matapeli lengo ni kuwarubuni maiti( ng'ombe,MTU yeyote asieweza kujitambua) wengi sababu ya akili za kushikiwa utapeliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…