Matapeli wa biashara ya mayai ya Kware

Matapeli wa biashara ya mayai ya Kware

hamsinij

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
371
Reaction score
58
Kumezuka Biashara ya mayai ya kware hodi hodi mpaka maofisini Biashara hi ni sawa na DECI, ama Dollar jet kwa kifupi ni PYRAMID ni utapeli wa hali ya juu. Wajasiria mali wamekuwa wakibuni njia mbadala wa kujipatia kipato kwa njia danganyifu.

Miaka ya 90 mwishoni tuliletewa "NGOKWA ELEVEN" tuka papatikia sana kumbe yalikuwa ni maranda ya mbao(fine dust), ikapotea kimtindo, wakaja na Biashara ya mafuta ya UBUYU.

Wakaja na products za kutuuzia ALOVERA tukalishwa mpaka matawi ya minanasi pasi kujua, hawakuishia hapo wakaja na Mbegu za MILONGE, tuka ambiwa ni Dawa ya magonjwa yote ukiwemo huu.

Nawaonea huruma leo tena mnaletewa mayai ya KENGE na kuambiwa ya kware! Eti yana saidia na kudumisha ndoa kama yana dumisha ndoa hao kware si wange jaa Duniani kuliko oxygen? Wabongo Ankeni bana acheni uvivu.

Mimi nitakula hayo mayai nikisikia walio dunia ya kwanza nao wameingia kwenye huo mkumbo
 
Tatizo wa tz kwa kushabikia jambo ni balaa
Walipoambiwa mayai ya kwake ya naongea cd4 basi imekuwa shida
 
hamsinij said:
Mkuu nakubali ulichosema, nikija kwenye ukweli halisi ndg zangu watz hawapendi ukweli kuhusiana na jambo lenye ukweli, bado baadhi wamefungiwa kwenye box la ukolonism kwamba mpaka aje mkoloni aseme ndipo wanaAmini.
 
Komesha Ni kusema kware Ni nyara ya serikali kama zilivyo pembe za ndovu tuone kama yatauzika
 
Kumezuka Biashara ya mayai ya kware hodi hodi mpaka maofisini Biashara hi ni sawa na DECI, ama Dollar jet kwa kifupi ni PYRAMID ni utapeli wa hali ya juu. Wajasiria mali wamekuwa wakibuni njia mbadala wa kujipatia kipato kwa njia danganyifu.

Miaka ya 90 mwishoni tuliletewa "NGOKWA ELEVEN" tuka papatikia sana kumbe yalikuwa ni maranda ya mbao(fine dust), ikapotea kimtindo, wakaja na Biashara ya mafuta ya UBUYU.

Wakaja na products za kutuuzia ALOVERA tukalishwa mpaka matawi ya minanasi pasi kujua, hawakuishia hapo wakaja na Mbegu za MILONGE, tuka ambiwa ni Dawa ya magonjwa yote ukiwemo huu.

Nawaonea huruma leo tena mnaletewa mayai ya KENGE na kuambiwa ya kware! Eti yana saidia na kudumisha ndoa kama yana dumisha ndoa hao kware si wange jaa Duniani kuliko oxygen? Wabongo Ankeni bana acheni uvivu.

Mimi nitakula hayo mayai nikisikia walio dunia ya kwanza nao wameingia kwenye huo mkumbo

Well said, yale yale ya kikombe cha babu! Mimi nimefuga kwale enzi za utoto wangu tumekula mayai sana na nyama yake. Lakini magonjwa hayo wanayoyasema yanatibiwa na mayai ya kwale tunayo kibao. Wabongo ndio maana tunashabakia lowasa pasi tukijua uhujumu wake kwa nchi hii. Kweli TZ Nyerere alituharibu na ujamaa, hatujielewi kama wachina! Mao alikuwa Mungu wao, leo kafa, umungu sijui uliishia wapi. Leo Nyerere ni baba wa taifa let us wait and see miaka 50 to come!
 
miaka hii nimekuwa mgumu kuamini kitu nisichoweza kukiona au kukishika, mwingine atasema hili baadaye wasikia lile!
ila kimsingi mayai yote ni chanzo kikubwa cha protini, na kwa kuwa ute ndani ya yai unatumiwa karibu sawa maziwa kwa ndama; maziwa yote pia ni chanzo cha protini, si ajabu ya popo yakawa na protini nyingi kuliko ya mbuzi aliyempita ng'ombe...... hivyo hivyo kwa kunguru kumpita kware aliyempita kuku....


suala ni kama kweli kiutaalam tunahitaji na tunasaidiwa na vilivyomo kwenye hayo mayai.
 
Back
Top Bottom