KERO Matapeli wa Dar es salaam wachukuliwe hatua

KERO Matapeli wa Dar es salaam wachukuliwe hatua

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari wanajamvi,

Kwa muda sasa Kuna mambo ya kitapeli hufanyika waziwazi bila matapeli hao kuchukuliwa hatua

Kwenye Kona mbalimbali ya jiji hili hususan karibu na maeneo ya stand kuu, Kuna watu huwa wanaofanya utapeli wa kitapeli watu Kwa kutumia michezo ya bahati nasibu kama kinga

For instance, Kuna wale unakuta wameweka vifaa mbalimbali kama TV's, sabufa, heaters na home appliances mbalimbali na kuwashawishi watu kucheza, wakati ni utapeli mtupu. Unakuta wanawake wengi ambao wanakupa part ya system yao ili wawatapeli watu eacpecially watu wageni(that's why wanakupa maeneo ya stand kama mbagala, temeke etc ambapo watu hutoka mkoan na kushukia apo)

Kuna njia nyingi hawa watu wamekua wakifanya utapeli the given example ni moja ya tactics zao among many

Naelewa kwamba ni uzembe mkubwa Kwa wanaotapeliwa Kwa kutokujua kua ni utapeli lakini hawa watu kiukweli wamekua wakiwaliza watu na kuhatarisha maisha ya wanaotapeliwa(imagine wewe ni mgeni alaf unatapeliwa all the money that you have)

Nashauri hawa watu wachukuliwe hatua wakionekana, am not sure kama game board of Tanzania wako awared nao ila we should stop this kuwasaidia wengi
 
halafu nashangaa wakati inajulikana kabsa ni utapeli ila viongozi wanawaacha kabsa aisee
 
Huo mchezo upo tangu 90 huko,lakinimpaka leo watu wanaibiwa kama si ujinga ni nini?

Serikali ina mengi ya kufanya.

Ukute Uongozi wa eneo husika ndio wanachukua posho kwa hao matapeli.
Huwezi ukasema ni ujinga, wanakaa maeneo ambayo kila kukicha wanapita watu wengi na wageni. Serikali ijitahidi kuwalinda raia wake dhidi ya hawa matapeli.
 
Matapeli hata huko vijijini wapo.

Nilikwenda mahali kununua mashamba kilichonikuta ni Mungu tu ndio aliniokoa.
 
Huwezi ukasema ni ujinga, wanakaa maeneo ambayo kila kukicha wanapita watu wengi na wageni. Serikali ijitahidi kuwalinda raia wake dhidi ya hawa matapeli.
Nachokiamini ni kwamba Kuban utapeli wa waziwazi kama huu ni kitu rahisi Kwa serikal licha ya wingi wa majukumu
 
Nachokiamini ni kwamba Kuban utapeli wa waziwazi kama huu ni kitu rahisi Kwa serikal licha ya wingi wa majukumu
Mkuu ,hawa hata huku mikoani unawakuta maeneo ya stendi au sehemu zilizo na watu wengi. Askari na vyombo vingine vya usimamizi wanawaona kabisa na kuwaacha tu. Wakiamua ni sula la siku chache tu wanawaondoa kabisa
 
Thiefs are city ecology we can’t stop them
 
Mimi nawajua vizuri sana. Kuna Bosi wao namfahamu ana vituo Vinne. Wanachofanya ni kugawa hela kwa kila kiongozi Wa eneo husika. Ukiwakuta mahali jua Mkuu Wa kituo cha Polisi Wa eneo husika ana posho yake kila wiki, mwenyekiti na Mtendaji Wa Serikali ya Mtaa Wa eneo hilo na km Kata ipo jirani Mtendaji Wa Kata hiyo pia hukatiwa posho kila wiki. Hilo nimeshudia kwa macho yangu. Na Wana uhakika Wa kupata hiyo hela. Wanaajiri watu, wengi wao wanawake, 31 hadi 35 ambao kazi yao ni kuwadanganya Wapita njia, na hasa wanaochungulia hiyo kazi yao. Ndo mana serikali huwaangalia tu. Hata ukiibiwa ukienda Polisi watakurudisha tu mana nao ni washiriki Wa mapato hayo ya wizi.
Wale ni majambazi wenye leseni ya magumashi. Wadhibitiwe mara moja....
 
Mimi nawajua vizuri sana. Kuna Bosi wao namfahamu ana vituo Vinne. Wanachofanya ni kugawa hela kwa kila kiongozi Wa eneo husika. Ukiwakuta mahali jua Mkuu Wa kituo cha Polisi Wa eneo husika ana posho yake kila wiki, mwenyekiti na Mtendaji Wa Serikali ya Mtaa Wa eneo hilo na km Kata ipo jirani Mtendaji Wa Kata hiyo pia hukatiwa posho kila wiki. Hilo nimeshudia kwa macho yangu. Na Wana uhakika Wa kupata hiyo hela. Wanaajiri watu, wengi wao wanawake, 31 hadi 35 ambao kazi yao ni kuwadanganya Wapita njia, na hasa wanaochungulia hiyo kazi yao. Ndo mana serikali huwaangalia tu. Hata ukiibiwa ukienda Polisi watakurudisha tu mana nao ni washiriki Wa mapato hayo ya wizi.
Wale ni majambazi wenye leseni ya magumashi. Wadhibitiwe mara moja....
Apo umetufumbua macho mkuu
 
Back
Top Bottom