Aisee!Angalieni hili jiziView attachment 2144184
Yap, ukiwatajia kiasi kikubwa sana lazima anakutukana, likewise nina audio recorded kwa mmoja aliniona mkulima flani hivi, yaani kila anachoniuliza namjibu kwa heshima zote huku narekodi.Kuna mmoja alinipigia simu, akaniambia kuna mtu amekosea kutuma hela ikaingia kwenye simu yako, baada ya hapo akaniuliza una salio kiasi gani kwenye simu....nikamjibu kuna bilioni 2; hapo hapo akanitukana na kukata simu
Mkuu kama umeliwa pesa tafadhali nakuomba ujipige vidole mpaka utoke mavi. Mtu hujacheza bahati nasibu eti unatumiwa ujumbe kuwa umeshinda milioni 7 hutokuwa na wasiwasi kweli wa kutapeliwa? Ujinga mwingine ni wa kujitakia tu.
TCRA wapo kwa ajili ya matusi mitandaoni sio wizi..TCRA wapo?
Hivi simu zao hazikutani na kadhia hii?
Je ni kwamba kazi imewashinda?
View attachment 2478556
AiseeNa wengine january hii wanajifanya wenye nyumba kama kodi imeisha ndio unajiandaa kulipa lazima uingine kingi.View attachment 2478584View attachment 2478585
Sent using Jamii Forums mobile app