Daktari wa Manchester
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 350
- 403
Huu utapeli wakizamani na wa kishamba... bisedes ni wewe uliyetapeliwa doc wa man u
Hili NI kosa umeharibu uzi wako aliyekuambia wasukuma hawajui mambo hayo ninani?? Kabila lake siyo hoja. Mtu na uelewa wake tu mbona wanatapeliwa watu na mashule Yao na NI wa hapa mjini? Au hujui Hilo?Sio Mimi ni mshikajii ndo katapeliwa mana ni msukuma hatamui hayo mambo
Sio Mimi ni mshikajii ndo katapeliwa mana ni msukuma hatamui hayo mambo
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji38]Sio Mimi ni mshikajii ndo katapeliwa mana ni msukuma hatamui hayo mambo
Kwani mmeo ni Msukuma?Sio Mimi ni mshikajii ndo katapeliwa mana ni msukuma hatamui hayo mambo
Wewe usie msukuma mbona umeshindwa kumsaidiaSio Mimi ni mshikajii ndo katapeliwa mana ni msukuma hatamui hayo mambo
Nimekupata mkuuHiyo ni code ya kuzuia simu zote ambazo utakua unazipiga so utakua unaweza kupigiwa ila siyo wewe kupiga. Na kwa ninavyojua hauwezi kupiga namba yoyote.
Ili kuondoa hiyo activation utabonyeza #33*0000# kisha Ok
Apa naona wasukuma watakuandama sana ushaharib🤣🤣Sio Mimi ni mshikajii ndo katapeliwa mana ni msukuma hatamui hayo mambo
Apa naona wasukuma watakuandama sana ushaharib🤣🤣
Wasukuma wengi ni washamba usibishe mkuu..mbaya zaidi ni watu flani hivi abao hawapendi kuuliza kwa kile wasichokijua au kujifunza....Hili NI kosa umeharibu uzi wako aliyekuambia wasukuma hawajui mambo hayo ninani?? Kabila lake siyo hoja. Mtu na uelewa wake tu mbona wanatapeliwa watu na mashule Yao na NI wa hapa mjini? Au hujui Hilo?