+255753173104,+255685761742,0715590538,+255766783601 kama hayo manamba nayo yanamilikiwa na matapeli. Tazama majina yao unaweza kutana nayo sehemu yoyote ya utapeli. Mojawapo ni Honest Mgona lipo Dar.. Yanaangalia thread humu ,yanasoma nafasi za kazi yakikupata shida yako yanakutrick nje ya box... Ni mepesi sana kutaja jina la Mwenyez Mungu lakin hayamalizi dakika kukuletea topic ya hela ambayo Kila mtu anaitafuta... Wanjifanya wapo tamisemi dodoma,ofisi ya Rais Utumishi, au Mwalimu aliyehamishwa..