Serikali ina kula matapishi mabaya ya uchaguzi mbovu, kununua wabunge na kunyamyasa wapinzani. Lakini bunge nalo linakuwa matapishi ya Ndugai ya hawa Covid 19 ambao wanaharibu heshima ya bunge kiasi kwamba imekuwa the comedy many series.
Ushauri wangu kwa Rais Samia fanya vitu vyako wewe, ukifuata style ya Magufuli itakupeleka pabaya na hautakuwa na legacy ya maana hasa kwenye demokrasia
Bunge huyu mdada spika asipokuwa makini bunge litabaki kichekesho na kiki ya Serikali badala ya watunga sheria.
Ushauri wangu kwa Rais Samia fanya vitu vyako wewe, ukifuata style ya Magufuli itakupeleka pabaya na hautakuwa na legacy ya maana hasa kwenye demokrasia
Bunge huyu mdada spika asipokuwa makini bunge litabaki kichekesho na kiki ya Serikali badala ya watunga sheria.