Matarajio ya Dawa ya Ukimwi: Ujumbe kwa wana JF


mwambieeeee sema sema Teamo, where we dare to talk openly!! teh! teh!
 
Kweli lakini, maana tupo tuliozaliwa BC na wengine wamezaliwa AC

BC= Before computers
AC= After computers
wewe inaelekea hata simu ya mkononi huna unaishi maisha ya kiujima ujima tu mbona Obama ni rais lakini anaingia mpk facebook kuchat sembse wewe mlala mchovu
 
mie hata kazi sifanyi nimerithishwa nyumba 4 na wazazi wangu moja iko Upanga nimepangisha wadhungu kazi yangu nikuingia net, kucheza pool na jioni ulabu pesa inaingia kila mwezi kama sina akili nzuri iga ufe

Mara ya mwisho kumsikia mwanaume mzima anaringia au kutambia mali za baba yake ilikuwa form one kule kili boys. halafu kama uko idle siku nzima uta acha ku do the needful kwa mabar maid kweli? :confused2::confused2:
 
Mara ya mwisho kumsikia mwanaume mzima anaringia au kutambia mali za baba yake ilikuwa form one kule kili boys. halafu kama uko idle siku nzima uta acha ku do the needful kwa mabar maid kweli? :confused2::confused2:
kama ulikuwepo vile ni ku-do kwa kwenda mbele niko kama wale wazee wa pwani wanaomiliki mitumbwi mchana wanacheza bao jioni vilabuni wapo na dukani kama kawa ila kazi hawafanyi sema mimi sichezi bao nashinda JF
 
lol kumbe kuna AC na BC ppo !
funny JF i lyk it!
 
Shika 50 zako, waache waumini wa JF watende iwapendezavyo!!
 
nimeanza page ya 1 nafika ya 7 hata sikumbuki heading inasemaje! funny JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…