Matarajio ya Ukuaji wa Uchumi wa Tanzania 2020

Mbaya zaidi tuna waziri wa fedha (ambae ni mwalimu wa uchumi kwa nadharia) na gavana wa benki kuu (ambae ni mwalimu wa sheria kinadharia pia). Hapa ni sawa na mtu alieharibikiwa gari lakini anatafuta mchunga mbuzi aje kumsaidia kulitengeneza.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbaya zaidi tuna waziri wa fedha (ambae ni mwalimu wa uchumi kwa nadharia) na gavana wa benki kuu (ambae ni mwalimu wa sheria kinadharia pia). Hapa ni sawa na mtu alieharibikiwa gari lakini anatafuta mchunga mbuzi aje kumsaidia kulitengeneza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Kenya nayo ni Low-Income Country. Mbona wanapiga kelele sana za kujisifu hawa majirani?
 
Hizo 'projections' ukiziweka pembeni, hawa watu walioweka nchi hizo katika makundi hayo wanatafuta ugomvi na baadhi ya nchi hizo.

Mara hii wamesahau kuwa Kenya haijihesabu kuwa katika kundi hilo? Subiri hadi hapo taarifa hii itakapowafikia usikie watakachosema.

Sikujua kuwa jirani zetu Zambia walishapiga hatua mbele kiasi kile. Hakika duniani kuna mengi ya kujifunza.

Hivi hawa watu haya manamba huwa wanayaokota wapi, au hukati vikaratasi na kuandika namba juu yake na kuweka ndani ya bakuri, kisha kuokota kimoja kimoja na kukihusisha na nchi?
Chukukia mfano wa Ethiopia, Kenya na Tanzania kwenye hizo 'projections' za 2020 na 2021.
Kuna kitu gani watakachokifanya Kenya 2021 hadi uchumi ukue kwa kasi ya asili mia 6.1, kutoka asilimia 1.0 inayotazamiwa 2020?
 
Wewe unaenda kulia unaenda kushoto. Swali langu lili kuwa Gdp ya Tz vs Gdp ya Zambia. Na ulipaswa kujua Gross domestic product ndio kipimo hasa cha ukuaji uchumi. Lakini Gdp per capita inapima wastani la pato la nchi kwa kila mwananchi wa nchi husika.

Na mara nyingi Gdp per capita huwa haiakisi ukweli wa pato la kila mwananchi. Sawa labda Zambia ina Gdp per capita kubwa kuliko Tz alafu Tz ina Gdp kubwa mara mbili ya ile ya Zambia. Hapo unaweza sema uchumi wa Zambia unakua kuliko wa Tz?
 
Siwezi kukujibu tena wewe, maana unaongelea GDP per "capital" ambayo mimi siifahamu. Ngoja wajuvi wenzio watakusaidia unachokitaka.
Typing error tu. Ninamaanisha per capita. Haya jibu swali Uchumi wa Zambia upo juu zaidi ya WaTz? Maana Gdp yao per capita ipo juu.
 
Mkuu hapa naona unaomba darasa kabisa, utanilipa shilingi ngapi nikitumia muda wangu kukupa hiyo elimu?
Tumo humu Jamvini kupeana elimu maana Watz ni tuna umoja na uzalendo wa hali ya juu. We tiririka tu.
 
Hivi wewe umesoma kweli hata form 1? Au ndio kizazi cha nyoka? Degree za makaratasi! Nominal Gdp ni Gdp from raw data kwa hiyo hiyo achana nayo. Zungumzia Real Gdp amabayo ndio inadetermine namna nchi inavozalisha bidhaa zake za ndani pamoja na services.Gdp per capita ni Real Gdp per each head. Na hii haitoi ukweli maana haikisi ukweli wa maisha ya watu. Mfano Gdp per capita ya Tz ni Usd 1000 sio kweli kwamba kila mtanzania anapata Usd 1000 kwa mwaka. Maana kuna mama wauza vitumbua hata kwa mwaka hawapati laki tatu. Kwa hiyo wewe unatakiwa urudi shule ukasome upya. Kutoa mfano wa nyumba mbovu ukiwa juu ya ndege inaonyesha ulivyo na upeo mdogo. Kuna mtu anakaa vingunguti lakini ana baa na daladala tano. Pato.lake kwa mwaka linamzidi hata mtu wa south Africa anaekaa kwenye vibanda vya mabati. Lakini nchi yake ina Gdp per capita kubwa. Degree lako la manzese nenda nalo huko tena umenitia kichefuchefu. Yaani Zambia Real Gdp Usd bil 27 na Tanzania Real Gdp 59 Usd alafu unasema Zambia ipo juu!
 
Real GDP ni nominal GDP adjusted for inflation. Naona IQ yako ni ndogo sana. Sina haja ya kuendelea kujibizana na wewe. Ulipata degree kwa kudesa, akili yako ni ndogo sana πŸ‘Œ
Nominal Gdp ni Gdp from raw data, sina hata degree ila wewe ni bure kabisa. Eti nikipanda ndege naona mabati mabovu mabovu.
 
Mbaya zaidi tuna waziri wa fedha (ambae ni mwalimu wa uchumi kwa nadharia) na gavana wa benki kuu (ambae ni mwalimu wa sheria kinadharia pia). Hapa ni sawa na mtu alieharibikiwa gari lakini anatafuta mchunga mbuzi aje kumsaidia kulitengeneza.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mbavu jamani
 
Nominal Gdp ni Gdp from raw data, sina hata degree ila wewe ni boya kabisa. Eti nikipanda ndege naona mabati mabovu mabovu.
Adjusted for inflation ndio linakuchanganya? Ndio maana nakuambia ni raw data,means hazijawa processed na kufanyiwa calculation.
 
Inategemea,unaweza ukawa nazo mia lakini kichwani hamna.
 
Ila tukiongea na ule ukweli forget hizo projections corona imekuja kuvuruga kika kitu
Mwaka huu uchumi utapiromoka vibaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…