Wakuu Mke wangu ana mimba ya miezi mitatu, amekuwa akilalamika mara kwa mara maumivu kwenye kitovu, pia moyo kubana. Tumeenda Hospitali mara mbili, majibu tunayopata ni kwamba, hiyo ni hali ya kawaida kwa miba ya miezi miwili mpaka mitatu! lakini hali hii naona haikomi!!! Kama kuna mtaalamu wa magonjwa ya wanawake na watoto atusaidie ushauri tafadhali, kwani nampenda sana mke wangu, akilalamika tu naona anateseka.
Natanguliza shukrani zangu
Wakuu Mke wangu ana mimba ya miezi mitatu, amekuwa akilalamika mara kwa mara maumivu kwenye kitovu, pia moyo kubana. Tumeenda Hospitali mara mbili, majibu tunayopata ni kwamba, hiyo ni hali ya kawaida kwa miba ya miezi miwili mpaka mitatu! lakini hali hii naona haikomi!!! Kama kuna mtaalamu wa magonjwa ya wanawake na watoto atusaidie ushauri tafadhali, kwani nampenda sana mke wangu, akilalamika tu naona anateseka.
Natanguliza shukrani zangu
Wakuu Mke wangu ana mimba ya miezi mitatu, amekuwa akilalamika mara kwa mara maumivu kwenye kitovu, pia moyo kubana. Tumeenda Hospitali mara mbili, majibu tunayopata ni kwamba, hiyo ni hali ya kawaida kwa miba ya miezi miwili mpaka mitatu! lakini hali hii naona haikomi!!! Kama kuna mtaalamu wa magonjwa ya wanawake na watoto atusaidie ushauri tafadhali, kwani nampenda sana mke wangu, akilalamika tu naona anateseka.
Natanguliza shukrani zangu