ALOE VERA GEL
Kinywaji hiki cha asili kinasaidia kuondoa sumu, kusafisha na kusaidia mmeng'enyo wa chakula, kuondoa vimbe, kuponya vidonda na kusaidia uponyaji wa maradhi kama arthritis, kisukari, vidonda vya tumbo,kukuongezea nguvu, kupunguza aleji mwilini na mengine mengi. Ina virutubisho kama vitamin 12 ikiwemo B12, madini 20, amino acid 18 na enzymes.
Tuwasiliane kwa ajili ya kuwa nayo. healthwealthfirst@gmail.com
Sorry anayehitaji msaada anaweza kuniandikia muda wowote kwa email:healthwealthfirst@gmail.commkuu ungeweka na namba yako ya simu hapa au toa maelekezo namna ya kuipata,sasa we unaweka dawa hapa halafu huweki contact unashani watanzania tunaingia online mda wote???ww mwenyewe unaingia dk 5 unasepa
Sorry anayehitaji msaada anaweza kuniandikia muda wowote kwa email:healthwealthfirst@gmail.com
nimekuandikia hujanijibu na plz tuambie unapatikana wapi.mbona unakuwa mgumu sana kuelewa???mbona biashara yako ni siri???mbona unafichaficha???
Tafadhari wana jf na Doctors naombeni msaada wenu..nina shida tumboni mwangu nahic chakula kutosagwa ipasavyo kwa sbb mara zote nikila tumbo hubaki hivyo hivyo kwa muda mrefu sana..na mara nying sihic njaa..huuma na ngurumo kibao..ni kama cku mbili zimepita cjaenda hospital bado..mwenye kujua anisaidie,natanguliza shukuran.