Matatizo ya kulala bila nguo

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Matatizo ya kulala bila nguo usiku baba,mama,na mtoto wame lala
Gafla mtoto kaamka
Mtoto:mama nataka nikakojoe
Mama:chukua tochi hapo uende
Mtoto:akanyoosha mkono anaazakupapasa kumbe baba kalala uchi mara akashika uume wa baba yake akizani tochi
Baba🙁kwakuzuga)we acha iyo haina betri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nakuja nimeitwa kidogo
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
mnapo buni hadithi basi ziwe na maudhui ya kikwetu kweli kweli sio maudhui ya kambi za wakimbizi
 
Mtoto aliyefikisha umri wa kujua kujipeleka chooni kwa tochi anafanya nini kwenye kitanda cha wazazi. Wacheni hizo, huyo atakua hata anawaona mkicheza gemu yenu ila anazuga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…