Matatizo ya madaktari Tanzania

Matatizo ya madaktari Tanzania

247

Senior Member
Joined
Mar 29, 2016
Posts
188
Reaction score
197
Habari zenu wana JF

Wiki iliyopita rafiki yangu wa karibu alinifata kuniomba ushauri, alikua anaumwa alivyonitajia Dalili na v2 anavyohisi nikatambua kuwa inaweza kua ni UTI nkamuelekeza dawa ya kumeza lakini bdo alikua na wasiwasi kwahyo akaona bora akapime ili apate uhakika juu ya ugonjwa wake.

Alipokwenda hospitali alipimwa kisha wakamwambia kua anaumwa UGONJWA WA ZINAA [STD] aliporudi akawa ameandikiwa dawa nyingi pamoja na sindano kwakua nlikua mbali na yy ikabidi antumie picha whatsapp ili nione ila skuchunguza sana kuwa ni dawa gani, na ningejua nngeweza kujua ni ugonjwa gani labda amekutwa nao maana nina taaluma ya kujua dawa kwa kiasi flani.

Sikutaka kumpeleleza sana nikamuacha aendelee na dawa ili apone, chakushangaza amemalza dawa amerud tena hospitali Leo wanamwambia kuwa "ilikua ni 20/25 na sasa hivi ni 15/20" nimeshindwa kuelewa kua ni kipimo cha ugonjwa gani ndo kinapimwa kwa scale hyo, nimejiulza sana na nimejaribu hata ku google ila sijapata jibu.

Sasa naomba msaada kwa wana JF mnisaidie kua

1:Mgonjwa anapoenda kupima halafu anaambiwa kua ni ugonjwa wa zinaa bila kuambiwa jina la huo ugonjwa ni sawa?? Kwasababu nimesha kutana na watu zaidi ya wawili wanasema majibuwanayopewa ndo hayo

2: Kama kuna mtu anayejua kuwa ni ugonjwa gani unaopimwa kwa scale hyo??


NILIHISI LABDA NI WANATAKA WAFANYE BUSNESS YA DAWA LAKINI NI HOSPITALI YA WILAYA NA DAWA ANAENDA KUNUNUA KWNY PHARMACY TOFAUTI NA HOSPITALI
 
Habari zenu wana JF

Wiki iliyopita rafiki yangu wa karibu alinifata kuniomba ushauri, alikua anaumwa alivyonitajia Dalili na v2 anavyohisi nikatambua kuwa inaweza kua ni UTI nkamuelekeza dawa ya kumeza lakini bdo alikua na wasiwasi kwahyo akaona bora akapime ili apate uhakika juu ya ugonjwa wake.

Alipokwenda hospitali alipimwa kisha wakamwambia kua anaumwa UGONJWA WA ZINAA [STD] aliporudi akawa ameandikiwa dawa nyingi pamoja na sindano kwakua nlikua mbali na yy ikabidi antumie picha whatsapp ili nione ila skuchunguza sana kuwa ni dawa gani, na ningejua nngeweza kujua ni ugonjwa gani labda amekutwa nao maana nina taaluma ya kujua dawa kwa kiasi flani.

Sikutaka kumpeleleza sana nikamuacha aendelee na dawa ili apone, chakushangaza amemalza dawa amerud tena hospitali Leo wanamwambia kuwa "ilikua ni 20/25 na sasa hivi ni 15/20" nimeshindwa kuelewa kua ni kipimo cha ugonjwa gani ndo kinapimwa kwa scale hyo, nimejiulza sana na nimejaribu hata ku google ila sijapata jibu.

Sasa naomba msaada kwa wana JF mnisaidie kua

1:Mgonjwa anapoenda kupima halafu anaambiwa kua ni ugonjwa wa zinaa bila kuambiwa jina la huo ugonjwa ni sawa?? Kwasababu nimesha kutana na watu zaidi ya wawili wanasema majibuwanayopewa ndo hayo

2: Kama kuna mtu anayejua kuwa ni ugonjwa gani unaopimwa kwa scale hyo??


NILIHISI LABDA NI WANATAKA WAFANYE BUSNESS YA DAWA LAKINI NI HOSPITALI YA WILAYA NA DAWA ANAENDA KUNUNUA KWNY PHARMACY TOFAUTI NA HOSPITALI

acha ujuaji sana kaka magonjwa ya zinaa (STDs) yapo mengi lakini dawa zake ni related,ukienda hospitali ya wilaya wakigundua una stds utapewa dawa zinazotibu magonjwa ya zinaa means kuna kaswede,gonorrhea na mengine. so kama huna taaluma ya utabibu basi usilaumu kwanza uliza wataalam wakujuze

kwenye kitabu cha standard treatment guidelines cha wizara ya afya cha mwaka 2013 mwezi july chapter nineteen inahusu STIs kitafute ukisome.

mfano dawa inaitwa Doxycycline na Ciprofroxacin zinatibu STIs karibia zote zikisaidiana na dawa related. so mgonjwa anatibiwa kulingana na maelezo yake au vipimo. usilinganishe na mwingine.

Health Expert
 
  • Thanks
Reactions: CAY
acha ujuaji sana kaka magonjwa ya zinaa (STDs) yapo mengi lakini dawa zake ni related,ukienda hospitali ya wilaya wakigundua una stds utapewa dawa zinazotibu magonjwa ya zinaa means kuna kaswede,gonorrhea na mengine. so kama huna taaluma ya utabibu basi usilaumu kwanza uliza wataalam wakujuze

kwenye kitabu cha standard treatment guidelines cha wizara ya afya cha mwaka 2013 mwezi july chapter nineteen inahusu STIs kitafute ukisome.

mfano dawa inaitwa Doxycycline na Ciprofroxacin zinatibu STIs karibia zote zikisaidiana na dawa related. so mgonjwa anatibiwa kulingana na maelezo yake au vipimo. usilinganishe na mwingine.

Health Expert

Cio ujuaji Mkuu

Ila skutaka kuwa brief tuu dawa alizoandokiwa ni nyingi sanna alaf cha kushangaza partner wake hajatibiwa na hana dalili zozote na cio Mara ya kwanza kwenda akaambiwa hvyo

Na kwny magonjwa mengi ya STD mwanaume ndo anakua wa kwanza kuonyesha dalili kabla y mwanamke

Ww unaongea hvyo ila kuna matatizo makubwa sann mm nlihisi ni UTI kwa facts kama hzo

Na kuhusu hvyo vitabu vya STG nnavyo vya miaka yore na kama utataka notes nyingine za kimatibabu nicheki ntakusaidia hata video na surgery.

Thanx
 
Cio ujuaji Mkuu

Ila skutaka kuwa brief tuu dawa alizoandokiwa ni nyingi sanna alaf cha kushangaza partner wake hajatibiwa na hana dalili zozote na cio Mara ya kwanza kwenda akaambiwa hvyo

Na kwny magonjwa mengi ya STD mwanaume ndo anakua wa kwanza kuonyesha dalili kabla y mwanamke

Ww unaongea hvyo ila kuna matatizo makubwa sann mm nlihisi ni UTI kwa facts kama hzo

Na kuhusu hvyo vitabu vya STG nnavyo vya miaka yore na kama utataka notes nyingine za kimatibabu nicheki ntakusaidia hata video na surgery.

Thanx

elimu haina mipaka mkuu STG ndio maelekezo ya serikali kulingana na dawa zilizopo mengine ni utaalamu wa ziada wa mtu. anyway nimefurahia majibu yako mkuu
 
Back
Top Bottom