Matatizo ya Mahesabu ya Serikali za Mitaa

Matatizo ya Mahesabu ya Serikali za Mitaa

mafutamingi

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
2,773
Reaction score
2,183
Kila mwaka repoti za ukaguzi wa mahesabu ya serikali za mitaa zmekuwa zkionyesha mapungufu makubwa, yakiwemo kufanya manunuzi bila kushindanisha wazabuni, kufanya manunuzi ambayo hayakupitishwa na bodi za zabuni, kufanya manunuzi kutoka kwa wazabuni ambao hawakuidhinishwa, kufanya manunuzi na kupokea bila kukaguliwa na kamati za ukaguzi, kufanya manunuzi bila kuambatanisha nyaraka muhimu n.k. Thamani ya manunuzi haya ni mabilioni ya shilingi.

Nionavyo mimi mojawapo ya mapungufu ya usimamizi wa fedha katika halmashari zetu ni kuteua wakurugenzi kwa misingi ya kisiasa.

Uongozi wa serikali za mitaa (Local Government Administration) ni fani mahsusi katika utawala na inafundishwa katika baadhi ya vyuo vyetu.

Chuo Kikuu Mzumbe, kwa mfano kimekuwa kikifundisha fani kwa kipindi kipatacho miongo mitano. Watu waliopitia fani hii ndio wanatakiwa kuteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za miji, majiji na manispaa.

Unapomteua mtu kuwa mkurugenzi ambaye sifa yake ni kada wa chama unakuwa mwanzo wa kupoteza mwelekeo. Tukiendelea na mtindo huu tutaendelea kuona madudu yanajirudia katika mahesabu ya serikali za mitaa mwaka hadi mwaka.

Muda umefika sasa wa kutambua fani ya uongozi wa serikali za mitaa na kuteua watu wenye sifa na kuachana na kuteus makada. Nawasilisha.
 
Hoja siyo uteuzi....hoja ni systems kuwa compromised na wezi...

Procedures zipo lakini wezi hawazifati ili waweze kuiba knowing that hata wakiiba hakuna consequences.
 
CAG anapotoa hoja siyo kuwa kuna wizi umetokea. Wengi wa wanaopitia hoja hizi mara moja wanafikiri kuwa kuna wizi. Hapana.
 
Kila mwaka repoti za ukaguzi wa mahesabu ya serikali za mitaa zmekuwa zkionyesha mapungufu makubwa, yakiwemo kufanya manunuzi bila kushindanisha wazabuni, kufanya manunuzi ambayo hayakupitishwa na bodi za zabuni, kufanya manunuzi kutoka kwa wazabuni ambao hawakuidhinishwa, kufanya manunuzi na kupokea bila kukaguliwa na kamati za ukaguzi, kufanya manunuzi bila kuambatanisha nyaraka muhimu n.k. Thamani ya manunuzi haya ni mabilioni ya shilingi.

Nionavyo mimi mojawapo ya mapungufu ya usimamizi wa fedha katika halmashari zetu ni kuteua wakurugenzi kwa misingi ya kisiasa.

Uongozi wa serikali za mitaa (Local Government Administration) ni fani mahsusi katika utawala na inafundishwa katika baadhi ya vyuo vyetu.

Chuo Kikuu Mzumbe, kwa mfano kimekuwa kikifundisha fani kwa kipindi kipatacho miongo mitano. Watu waliopitia fani hii ndio wanatakiwa kuteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za miji, majiji na manispaa.

Unapomteua mtu kuwa mkurugenzi ambaye sifa yake ni kada wa chama unakuwa mwanzo wa kupoteza mwelekeo. Tukiendelea na mtindo huu tutaendelea kuona madudu yanajirudia katika mahesabu ya serikali za mitaa mwaka hadi mwaka.

Muda umefika sasa wa kutambua fani ya uongozi wa serikali za mitaa na kuteua watu wenye sifa na kuachana na kuteus makada. Nawasilisha.
unawaonea tu wakurugezi huku ukisahau kwamba umesema tatizo hili ni la mda mrefu
 
CAG anapotoa hoja siyo kuwa kuna wizi umetokea. Wengi wa wanaopitia hoja hizi mara moja wanafikiri kuwa kuna wizi. Hapana.
CAG anafuatilia mambo kadha wa kadha kujiridhisha kuwa sheria, kanuni, na tartibu husika za utendaji zilizingatiwa na taasisi husika au la katika utekelezaji.
Akigundua ukiukaji ama wa makusudi au utovu wa uwelewa, ataelezea kwenye taarifa yake.
Kukosekana kwa viambatanisho vya malipo, nk. kunaweza kuwa ni kutokana na ubadirifu au utunzaji mbaya wa nyaraka husika. Baadaye nyaraka zikionekana na kuwakilishwa kwa uthibitisho, hoja husika inafutwa na CAG.
 
Kila mwaka repoti za ukaguzi wa mahesabu ya serikali za mitaa zmekuwa zkionyesha mapungufu makubwa, yakiwemo kufanya manunuzi bila kushindanisha wazabuni, kufanya manunuzi ambayo hayakupitishwa na bodi za zabuni, kufanya manunuzi kutoka kwa wazabuni ambao hawakuidhinishwa, kufanya manunuzi na kupokea bila kukaguliwa na kamati za ukaguzi, kufanya manunuzi bila kuambatanisha nyaraka muhimu n.k. Thamani ya manunuzi haya ni mabilioni ya shilingi.

Nionavyo mimi mojawapo ya mapungufu ya usimamizi wa fedha katika halmashari zetu ni kuteua wakurugenzi kwa misingi ya kisiasa.

Uongozi wa serikali za mitaa (Local Government Administration) ni fani mahsusi katika utawala na inafundishwa katika baadhi ya vyuo vyetu.

Chuo Kikuu Mzumbe, kwa mfano kimekuwa kikifundisha fani kwa kipindi kipatacho miongo mitano. Watu waliopitia fani hii ndio wanatakiwa kuteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za miji, majiji na manispaa.

Unapomteua mtu kuwa mkurugenzi ambaye sifa yake ni kada wa chama unakuwa mwanzo wa kupoteza mwelekeo. Tukiendelea na mtindo huu tutaendelea kuona madudu yanajirudia katika mahesabu ya serikali za mitaa mwaka hadi mwaka.

Muda umefika sasa wa kutambua fani ya uongozi wa serikali za mitaa na kuteua watu wenye sifa na kuachana na kuteus makada. Nawasilisha.
Pole kwa kusoma LGA na kuwa jobless
 
Kila mwaka repoti za ukaguzi wa mahesabu ya serikali za mitaa zmekuwa zkionyesha mapungufu makubwa, yakiwemo kufanya manunuzi bila kushindanisha wazabuni, kufanya manunuzi ambayo hayakupitishwa na bodi za zabuni, kufanya manunuzi kutoka kwa wazabuni ambao hawakuidhinishwa, kufanya manunuzi na kupokea bila kukaguliwa na kamati za ukaguzi, kufanya manunuzi bila kuambatanisha nyaraka muhimu n.k. Thamani ya manunuzi haya ni mabilioni ya shilingi.

Nionavyo mimi mojawapo ya mapungufu ya usimamizi wa fedha katika halmashari zetu ni kuteua wakurugenzi kwa misingi ya kisiasa.

Uongozi wa serikali za mitaa (Local Government Administration) ni fani mahsusi katika utawala na inafundishwa katika baadhi ya vyuo vyetu.

Chuo Kikuu Mzumbe, kwa mfano kimekuwa kikifundisha fani kwa kipindi kipatacho miongo mitano. Watu waliopitia fani hii ndio wanatakiwa kuteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za miji, majiji na manispaa.

Unapomteua mtu kuwa mkurugenzi ambaye sifa yake ni kada wa chama unakuwa mwanzo wa kupoteza mwelekeo. Tukiendelea na mtindo huu tutaendelea kuona madudu yanajirudia katika mahesabu ya serikali za mitaa mwaka hadi mwaka.

Muda umefika sasa wa kutambua fani ya uongozi wa serikali za mitaa na kuteua watu wenye sifa na kuachana na kuteus makada. Nawasilisha.
Mkuu hakuna DED ambaye sio mtaalam. Na utaalam unaozingatiwa sio awe amesoma Mzumbe tu. Hakuna kazi ya hivyo!
 
Back
Top Bottom