Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Even if Network Market works
., Do you or are you prepared to do the work
.
Network Market imepata sifa mbaya na watu kuiogopa na wapo waliojiunga lakini hawafanikiwi baadhi ya sababu nilizoziona na kama zifuatavyo:-
Watu wengi Wanajiunga Kutajirika na sio Kutumia Products
Kumbuka kwamba bila kutumia bidhaa hakuna atakayepata pesa. Sasa kama kila mtu yeye anajishughulisha kwenye recruiting na sio utumiaji wa bidhaa wengi wanajikuta wana team za watu wengi lakini mzigo hauendi. Hence na pesa haionekani.
Ulaghai na Over Expectations
Watu wanavyosajiri watu wanakuwa waongo, hawaelezi ukweli kwamba hii ni shughuli ngumu, unahitaji kuwa a good salesperson, matokeo yake wengi wanajiunga lakini ugumu wa shughuli unawafanya kuishia njiani na kuchoka.
Pia ili mtu aweze kusajiri watu sometimes inabidi hata appearance yake ionekane kwamba kapata sana pesa, kwahio sometimes mtu akikwambia kwamba hili gari au hii nyumba imetoka kwenye hii biashara huenda ni muongo.
Gharama ya Bidhaa
Gharama ya product nyingi hazilingani na kipato cha wananchi wa Tanzania sasa kama products majority ya wananchi hawawezi kununua hapo utaona kwamba shughuli ni pevu.
Oversaturation
Unapoingia mwanzo ni kweli kwamba kuna pool kubwa ya kusajiri watu ila watu wengi wanavyozidi kuingia ndio shughuli inazidi kuwa ngumu (ukizingatia watu wengi wanaojiunga sio kutumia bidhaa bali ni kusajiri watu) hivyo mwisho wa siku kampuni ikijulikana sana na ugumu wa kusajiri / kupata mtu mpya inakuwa kubwa
USHAURI
Kama kweli unaweza kuuza (good salesperson) basi jiunge ila angalia sana yafuatayo kwenye Kampuni
Mwisho kabisa ukitaka raha zaidi anzisha kampuni yako na ifanye MLM hapo utapata sales people wa kutosha hence avoid promotion and other costs of selling
Network Market imepata sifa mbaya na watu kuiogopa na wapo waliojiunga lakini hawafanikiwi baadhi ya sababu nilizoziona na kama zifuatavyo:-
Watu wengi Wanajiunga Kutajirika na sio Kutumia Products
Kumbuka kwamba bila kutumia bidhaa hakuna atakayepata pesa. Sasa kama kila mtu yeye anajishughulisha kwenye recruiting na sio utumiaji wa bidhaa wengi wanajikuta wana team za watu wengi lakini mzigo hauendi. Hence na pesa haionekani.
Ulaghai na Over Expectations
Watu wanavyosajiri watu wanakuwa waongo, hawaelezi ukweli kwamba hii ni shughuli ngumu, unahitaji kuwa a good salesperson, matokeo yake wengi wanajiunga lakini ugumu wa shughuli unawafanya kuishia njiani na kuchoka.
Pia ili mtu aweze kusajiri watu sometimes inabidi hata appearance yake ionekane kwamba kapata sana pesa, kwahio sometimes mtu akikwambia kwamba hili gari au hii nyumba imetoka kwenye hii biashara huenda ni muongo.
Gharama ya Bidhaa
Gharama ya product nyingi hazilingani na kipato cha wananchi wa Tanzania sasa kama products majority ya wananchi hawawezi kununua hapo utaona kwamba shughuli ni pevu.
Oversaturation
Unapoingia mwanzo ni kweli kwamba kuna pool kubwa ya kusajiri watu ila watu wengi wanavyozidi kuingia ndio shughuli inazidi kuwa ngumu (ukizingatia watu wengi wanaojiunga sio kutumia bidhaa bali ni kusajiri watu) hivyo mwisho wa siku kampuni ikijulikana sana na ugumu wa kusajiri / kupata mtu mpya inakuwa kubwa
USHAURI
Kama kweli unaweza kuuza (good salesperson) basi jiunge ila angalia sana yafuatayo kwenye Kampuni
- Good Products (ambazo unajua watu wataweza kuzinunua na kuzipenda)
- Ni vema ingia kwenye kampuni ambayo haijawa oversaturated (kuwahi ni vema)
- Pia kwenye malipo ni vema kama kwenye paying structure kutakuwa na overspill (Spill Over Matrix) kwenye kusajiri watu. (yaani hata kama wewe usipopata mtu ila mtu wa juu yako awe na limit ya kupata watu, yaani akipata watu zaidi waangukie kwenye level ya pili, hivyo ni kwamba team itafanya kazi kama group na hata wewe usipopata watu juhudi za wenzako zitakusaidia.
Mwisho kabisa ukitaka raha zaidi anzisha kampuni yako na ifanye MLM hapo utapata sales people wa kutosha hence avoid promotion and other costs of selling