Matatizo ya NHIF yalianzia Kwa Maamuzi Mabovu na Ummy Mwalimu Mwenyewe mwaka 2016

Matatizo ya NHIF yalianzia Kwa Maamuzi Mabovu na Ummy Mwalimu Mwenyewe mwaka 2016

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Screenshot_20240816_081548_Chrome.jpg

Ummy Mwalimu aliteuliwa kuwa Waziri Nov 2015, ndani ya miezi 7 akaamuru Bodi ya NHIF iwafukuze kazi Wakurugenzi/ Wakuu wa Vitengo wote pamoja na DG wao kwa tuhuma za uwongo.

Katika hiyo timu ya Wagurugenzi 9, nusu yao walikuwapo kuanzia NHIF ilipoanzishwa mwaka 2003, wamekuwa na Mfuko hadi ukawa mmoja wa Mifuko Bora ya Bima ya Afya kwenye Bara la Afrika.

Unapowatimua Wakurugenzi wote unapoteza experience na institutional memory ya NHIF.

Hizo sababu zote wanazosema sijui madeni ya Serikali, forgeries za service providers etc ni visingizio tu. Tatizo kubwa lilikuwa ni Ummy Mwalimu mwenyewe. Aliwatoa hao Wakurugenzi ili akafanye UFISADI wake kupitia watu wataotekeleza maagizo yake. And she is super rich woman as of now

Pia soma: Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Mytake:
Jenista Mhagama/ Irene Kisaka; (1) Usirudie makosa ya Ummy Mwalimu kuondoa maafisa waliokuwa chini po ya DG wa zamani Benard Konga

(2) Watumieni hao wazoefu kupata ushauri (siyo kuwarudisha kwenye ajira) wa namna ya kuboresha mfuko. Najuwa wengi bado ŵapo na wana akili nzuri. Wapo akina Emmanuel Humba, Hamis Mdee, Frank Lekey, Michael Mhando, Mwamoto, Lobulu etc

Tusiogope hili mbona TASAC iliimarishwa kwa kutumia wafanyakazi wa zamani wa NASACO!!
 
Nakataa kuamini Mwalimu katumbuliwa sababu ya matatizo yaliyopo NHIF.
Itakuwa kuna wakubwa zaidi yake amewagusa au mdomo umemponza.
 

Ummy Mwalimu aliteuliwa kuwa Waziri Nov 2015, ndani ya miezi 7 akaamuru Bodi ya NHIF iwafukuze kazi Wakurugenzi/ Wakuu wa Vitengo wote pamoja na DG wao kwa tuhuma za uwongo.

Katika hiyo timu ya Wagurugenzi 9, nusu yao walikuwapo kuanzia NHIF ilipoanzishwa mwaka 2003, wamekuwa na Mfuko hadi ukawa mmoja wa Mifuko Bora ya Bima ya Afya kwenye Bara la Afrika.

Unapowatimua Wakurugenzi wote unapoteza experience na institutional memory ya NHIF.

Hizo sababu zote wanazosema sijui madeni ya Serikali, forgeries za service providers etc ni visingizio tu. Tatizo kubwa lilikuwa ni Ummy Mwalimu mwenyewe. Aliwatoa hao Wakurugenzi ili akafanye UFISADI wake kupitia watu wataotekeleza maagizo yake. And she is super rich woman as of now

Pia soma: Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Mytake:
Jenista Mhagama/ Irene Kisaka; (1) Usirudie makosa ya Ummy Mwalimu kuondoa maafisa waliokuwa chini po ya DG wa zamani Benard Konga

(2) Watumieni hao wazoefu kupata ushauri (siyo kuwarudisha kwenye ajira) wa namna ya kuboresha mfuko. Najuwa wengi bado ŵapo na wana akili nzuri. Wapo akina Emmanuel Humba, Hamis Mdee, Frank Lekey, Michael Mhando, Mwamoto, Lobulu etc

Tusiogope hili mbona TASAC iliimarishwa kwa kutumia wafanyakazi wa zamani wa NASACO!!
Ummy ni takataka kabisa
 
Nakataa kuamini Mwalimu katumbuliwa sababu ya matatizo yaliyopo NHIF.
Itakuwa kuna wakubwa zaidi yake amewagusa au mdomo umemponza.
Hamna zaidi ya poor managemnt ya mfuko wa bima ya afya na ufisadi. Huyu alistahili afuatiliwe hata na TAKUKURU baada ya kutumbuliwa
 
Back
Top Bottom