Matatizo ya Rasimu ya katiba, wakulaumiwa ni Joseph Warioba.

Matatizo ya Rasimu ya katiba, wakulaumiwa ni Joseph Warioba.

Status
Not open for further replies.

MZIMU

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
4,058
Reaction score
1,373
Jaji Joseph Sinde Warioba ndio wakulaumiwa katika matatizo yanayojitokeza katika Rasimu ya Katiba. Uhalisia wa tatizo nikua, Jaji joseph Sinde Warioba, ameamua kufuata nyayo za Mwalimu Nyerere, za Kuweka Maslahi ya Kanisa Mbele kuliko Maslahi ya Nchi.

Sasa kutokana na Kutokua na nia nzuri na Nchi yetu, Asitarajie kupata Heshima yoyote katika jukumu hili alilopewa na Mheshimiwa Rais, kwa Maslahi ya Taifa.
 
Nakushangaa. Jaji Warioba anazungukwa na Wajumbe wengi ambao wengi ni waislamu, hayo maslahi ya Kanisa atayapitishia wapi?
 
Jaji Joseph Sinde Warioba ndio wakulaumiwa katika matatizo yanayojitokeza katika Rasimu ya Katiba. Uhalisia wa tatizo nikua, Jaji joseph Sinde Warioba, ameamua kufuata nyayo za Mwalimu Nyerere, za Kuweka Maslahi ya Kanisa Mbele kuliko Maslahi ya Nchi.

Sasa kutokana na Kutokua na nia nzuri na Nchi yetu, Asitarajie kupata Heshima yoyote katika jukumu hili alilopewa na Mheshimiwa Rais, kwa Maslahi ya Taifa.


Maslahi ya Kanisa ni yepi? Piga ilmu dunia achana NA ilmu ahera pekee
 
Mungu wangu Wanawake huzaa,Alomzaa huyu mleta DINI KA_LOCK Kabisa Akili Za Watu.Let U Think Beyond Elimu-Akhera!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom