Matatizo ya uchumi wa tanzania

ikizu

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2011
Posts
431
Reaction score
56
Uchumi wa tanzania tunashindwa kuukuza kwa kiwango kinachotakiwa kwa sababu tunaukuza kwa mchana tu. Wakati wenzetu wanaukuza mchana na usiku eg mabasi yanatembea usiku kucha, mabenk yako wazi 24hrs, masupermarket pia sisi tunakiroma na kuaota ndoto na kuongeza familia
 
poleni watanzania kwa kufanya kazi mchana tu mnategemea uchumi utakuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…