Matatizo ya uzazi

Matatizo ya uzazi

Joined
Jan 13, 2019
Posts
6
Reaction score
0
SARATANI YA KIZAZI( CERVICAL CANCER)

Hii n saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au cell zilizopo ktk shingo ya kizazi.Mabadiliko hayo hupelekea chembechembe hizi kushamiri na kuzaliana kwa kiasi kinyume na mpangilio wa maumbile

SABABU ZINAZOSABABISHA

::HII husababishwa na maambukizi ya virus waitwao human pappiloma.

::kuanza tendo la ndoa ktk umri mdogo

::kuwa na mahusiano ya kimwil zaid ya mwanaume 1

::maambukiz ya magonjwa ya zinaa

;;uvutaji wa sigar@

::kupata mimba ktk umri mdogo na kuzaa mara kwa mara

.DALILI ZA SARATANI YA KIZAZI


::Kutikwa na majimaji au uchafu wenye harufu

::kutokwa damu ukeni mbali na hedhi

::Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

::kupungua uzito bila kukusudia

::kukojoa mkojo wenye matone ya damu

UGONJWA HUU UNATIBIKA KABISA KWA MAELEZO TIBA NA USHAURI 0714152797WHATSAPP

KUPONA NI GUARATEE
 
Back
Top Bottom