Matatu nchini Kenya zawekewe matandao ili kuwafanya abiria kutoboweka na trafic jam

Matatu nchini Kenya zawekewe matandao ili kuwafanya abiria kutoboweka na trafic jam

Breki sina

Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
96
Reaction score
32
Source VOA:

Nchini Kenya magari ya abiria jijini Nairobi maarufu kama matatu yamefungiwa mitandao ya internet ili kuwasaidia abiria kutumia mitandao wanapo kuwa kwenye foleni za barabarani hii imewavutia watu wengi nchini humo na huduma hiyo nini fundisho kwa jiji letu la Dar hasa kwa Daladala zinazofanya safari zake ambapo abiria hupitia madirishani ili kuweza kujisitili wenzetu wametoka huko mpaka kufikia hatua ya kuweka mitandao kwenye daladala sie tunahangaika na watu wanaopitia madirishani aibu hii jamani.
 
Kwani Kenya mitandao Ya Simu haitoi uduma za internet? Mbona mm apa bongo nikiwa kwenye daladala natumia internet kupitia simu Ya mkononi, ata sasa nipo JF
 
Kwani Kenya mitandao Ya Simu haitoi uduma za internet? Mbona mm apa bongo nikiwa kwenye daladala natumia internet kupitia simu Ya mkononi, ata sasa nipo JF

wamefunga wifi kwnye matatu ( yameandikwa kwenye kioo cha nyuma full wifi) so ukiingia na tablet, simu chochote chenye connection ya wifi basi unabrouse free. na yale ya mikoani yamefungwa mobile t.v wame subscribe na DSTV na na hayo yameandikwa full DSTV YAANI NI USHINDANI TU KWENYE BIASHARA
 
Kwani Kenya mitandao Ya Simu haitoi uduma za internet? Mbona mm apa bongo nikiwa kwenye daladala natumia internet kupitia simu Ya mkononi, ata sasa nipo JF

Spensa Ipo hivi matatu zimefungiwa kifaa ambacho abiria wana browser net kupitia simu zao na wao hawachajiwai fedha wakati wewe na mimi hata tunalipia hii huduma either kwa kununua kifurusha au vingine.
 
wamefunga wifi kwnye matatu ( yameandikwa kwenye kioo cha nyuma full wifi) so ukiingia na tablet, simu chochote chenye connection ya wifi basi unabrouse free. na yale ya mikoani yamefungwa mobile t.v wame subscribe na DSTV na na hayo yameandikwa full DSTV YAANI NI USHINDANI TU KWENYE BIASHARA

sahihi Calvin ipo hivyo good
 
hii kitu ingeenea africa nzima nadhani africa tungekuwa juu zaidi kiteknolojia
Source VOA:

Nchini Kenya magari ya abiria jijini Nairobi maarufu kama matatu yamefungiwa mitandao ya internet ili kuwasaidia abiria kutumia mitandao wanapo kuwa kwenye foleni za barabarani hii imewavutia watu wengi nchini humo na huduma hiyo nini fundisho kwa jiji letu la Dar hasa kwa Daladala zinazofanya safari zake ambapo abiria hupitia madirishani ili kuweza kujisitili wenzetu wametoka huko mpaka kufikia hatua ya kuweka mitandao kwenye daladala sie tunahangaika na watu wanaopitia madirishani aibu hii jamani.
 
Sekta ya matatu ni moja ya informal sectors kama jua kali ambao inatoa ajira kwa raia..kando na changamoto za sekta hio kama utovu wa nidhamu, inaboresha maisha ya wengi kiuchumi...ikiweza kuwekwa katika mstari, ni sekta ambao ina faida
 
Nyie bakini na umbea wenu tu, mana watz ndo mnachoweza. Wenzenu wanasonga mbele
 
Back
Top Bottom