Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Wanachokifanya Mamelodi leo hata wanavyocheza ni wazi kabisa wanataka kuipa Matokea mazuri Al Hilal.
Goli la kwanza la Mamelodi ni la bahati mbaya tu lakini wakaamua kuwazawadia wasuda goli la kusawazisha kiboya kabisa.
Ubora wa kipa wa Mamelodi na beki zake si wa kufanya Uzembe huu. Inaonekana Gari la Mwarabu limeshawaka sasa imeanza kuwatisha wasauzi. Hii ni match fixinga ya wazi kabisa. Sijajua hiyo Sare itakuwaje (labda kama watawazawadia lingine) lakini Mwarabu anataka kwenda kutoa adhabu kali sana kwa msudan. Mamelodi wanaharibu ladha ya soka aiseee. Na sidhani kama bosi ambae ndo mkuu kule CAF kama atasema kitu
Africa ni shida sana.
Goli la kwanza la Mamelodi ni la bahati mbaya tu lakini wakaamua kuwazawadia wasuda goli la kusawazisha kiboya kabisa.
Ubora wa kipa wa Mamelodi na beki zake si wa kufanya Uzembe huu. Inaonekana Gari la Mwarabu limeshawaka sasa imeanza kuwatisha wasauzi. Hii ni match fixinga ya wazi kabisa. Sijajua hiyo Sare itakuwaje (labda kama watawazawadia lingine) lakini Mwarabu anataka kwenda kutoa adhabu kali sana kwa msudan. Mamelodi wanaharibu ladha ya soka aiseee. Na sidhani kama bosi ambae ndo mkuu kule CAF kama atasema kitu
Africa ni shida sana.