Match Fixing: Mamelodi inataka kuwabeba Al Hilal ili wasije kukutana na Al Ahly huko mbeleni

Match Fixing: Mamelodi inataka kuwabeba Al Hilal ili wasije kukutana na Al Ahly huko mbeleni

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Wanachokifanya Mamelodi leo hata wanavyocheza ni wazi kabisa wanataka kuipa Matokea mazuri Al Hilal.
Goli la kwanza la Mamelodi ni la bahati mbaya tu lakini wakaamua kuwazawadia wasuda goli la kusawazisha kiboya kabisa.

Ubora wa kipa wa Mamelodi na beki zake si wa kufanya Uzembe huu. Inaonekana Gari la Mwarabu limeshawaka sasa imeanza kuwatisha wasauzi. Hii ni match fixinga ya wazi kabisa. Sijajua hiyo Sare itakuwaje (labda kama watawazawadia lingine) lakini Mwarabu anataka kwenda kutoa adhabu kali sana kwa msudan. Mamelodi wanaharibu ladha ya soka aiseee. Na sidhani kama bosi ambae ndo mkuu kule CAF kama atasema kitu

Africa ni shida sana.
 
Na game ndo inakwisha kwa drawa,ibenge anasonga kwa point 11 na msouth anaenda kumalizana na coton
 
Ungeliona goli la watunisia jana sijui ungesema nini
 
WAMETOA NA TUTA,

***** SOKA LA AFRICA WALLAH. RUDIA MECHI UANGALIE ILE KROSI KABLA YA TUTA
 
Yule beki kaenda straight kutoa tuta, tena wamegombea wawili kucheza rafu
 
Wakati anapiga kuna msauzi kamfuata kumpa moyo.. na wamekosa.
Mwarabu anatumia majini sijui naye
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siai waafrika hata tukibebwa hatubebeki
 
Shenzi hawa, wamebebana na wameshindwa kubebeka.. Wenyewe sura za matumaini zimepotea mpira umekwisha..

Tarehe 31 Ijumaa (Siku ya mwarabu) waende CAIRO sasa
 
Back
Top Bottom