Mate ya Binadamu huondoa maumivu

Mate ya Binadamu huondoa maumivu

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Labda nikwambie tu kama ulikuwa hujui;

Mate ya binadamu Yamebeba ndani yake kemikali inayoondoa maumivu(painkillers) inayoitwa Opiorphin,
ambayo inanguvu mara 6 zaidi kuliko Morphine au Panado.

"Kwahiyo ndugu zangu maumivu yakizidi sio hadi umwone daktari au dawa 3 bali mfate bebi wako mkaushe mate yotee 😳

Hivyo kunyonya ndimi inaweza kuwa Moja ya tiba ya maumivu
 
Labda nikwambie tu kama ulikuwa hujui;

Mate ya binadamu Yamebeba ndani yake kemikali inayoondoa maumivu(painkillers) inayoitwa Opiorphin,
ambayo inanguvu mara 6 zaidi kuliko Morphine au Panado.

"Kwahiyo ndugu zangu maumivu yakizidi sio hadi umwone daktari au dawa 3 bali mfate bebi wako mkaushe mate yotee 😳

Hivyo kunyonya ndimi inaweza kuwa Moja ya tiba ya maumivu
Ungeweka chanzo cha huu utafiti...ili tujifunze zaidi ikibidi.
 
Ndio maana yanatumika sana kwenye liwati kumbe huwa ni kupunguza maumivu?!
 
..kuna mahali pia nimesjmia kuwa mavi ni dawa nzuri ..Kwa hiyo ukitaka mavi mtafte demu umnyonye mku.ndu...ama um.fire akunyee ..
 
Back
Top Bottom