Matembezi kwenye kata ya kivule

Matembezi kwenye kata ya kivule

Joined
Apr 11, 2024
Posts
24
Reaction score
55
07. 05. 2024

Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Afisa Mtendaji wa Kata Ya Kivule, Ili Kujua Mipango Ya Maendeleo Inayoendelea Kwenye Kata Ya Kivule, Pamoja Na Mipango Waliyonayo Katika Utatuaji wa Changamoto, Kwenye Kata Ya Kivule.

Katika Matembezi Haya, Niliweza Kujua Mipango Ya Maendeleo Inayoendelea Kutekelezwa Na Kupangwa Kwenye Kata Ya Kivule, Ikiwa Ni Pamoja Na Upembuzi (Upimaji) wa Barabara ya DMDP (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project) Unaoanzia Kata Ya Kitunda Kuja Kivule, Ikiwa Ni Hatua za Awali za Ujenzi wa Barabara Ya DMDP Chini Ya TARURA (Tanzania Rural and Urban Roads Agency)... Lakini Pia, Kutambua Mpango wa Maboresho Kwenye Soko La Kivule, Kupitia Ofisi Ya Mkurugenzi, Na Maboresho Mengineyo Kufanyiwa Kazi.

Serikali Sikivu…
#KaziIendelee 🇹🇿
55508316-32FB-4B2B-8B42-54B6553EBEE4.jpeg
 
07. 05. 2024

Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Afisa Mtendaji wa Kata Ya Kivule, Ili Kujua Mipango Ya Maendeleo Inayoendelea Kwenye Kata Ya Kivule, Pamoja Na Mipango Waliyonayo Katika Utatuaji wa Changamoto, Kwenye Kata Ya Kivule.

Katika Matembezi Haya, Niliweza Kujua Mipango Ya Maendeleo Inayoendelea Kutekelezwa Na Kupangwa Kwenye Kata Ya Kivule, Ikiwa Ni Pamoja Na Upembuzi (Upimaji) wa Barabara ya DMDP (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project) Unaoanzia Kata Ya Kitunda Kuja Kivule, Ikiwa Ni Hatua za Awali za Ujenzi wa Barabara Ya DMDP Chini Ya TARURA (Tanzania Rural and Urban Roads Agency)... Lakini Pia, Kutambua Mpango wa Maboresho Kwenye Soko La Kivule, Kupitia Ofisi Ya Mkurugenzi, Na Maboresho Mengineyo Kufanyiwa Kazi.

Serikali Sikivu…
#KaziIendelee 🇹🇿
well done 👍
 
Hongera sana mdau, ila jsribu kuumiza akili utoboe huko CCM wakupe hata u DC, ila wasi wasi wangu ni wananchi watapoyeza umakini wa kukusikiliza maana unasura ya mtelezo hongera sana
 
07. 05. 2024

Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Afisa Mtendaji wa Kata Ya Kivule, Ili Kujua Mipango Ya Maendeleo Inayoendelea Kwenye Kata Ya Kivule, Pamoja Na Mipango Waliyonayo Katika Utatuaji wa Changamoto, Kwenye Kata Ya Kivule.

Katika Matembezi Haya, Niliweza Kujua Mipango Ya Maendeleo Inayoendelea Kutekelezwa Na Kupangwa Kwenye Kata Ya Kivule, Ikiwa Ni Pamoja Na Upembuzi (Upimaji) wa Barabara ya DMDP (Dar Es Salaam Metropolitan Development Project) Unaoanzia Kata Ya Kitunda Kuja Kivule, Ikiwa Ni Hatua za Awali za Ujenzi wa Barabara Ya DMDP Chini Ya TARURA (Tanzania Rural and Urban Roads Agency)... Lakini Pia, Kutambua Mpango wa Maboresho Kwenye Soko La Kivule, Kupitia Ofisi Ya Mkurugenzi, Na Maboresho Mengineyo Kufanyiwa Kazi.

Serikali Sikivu…
#KaziIendelee [emoji1241]View attachment 2983875
Habari. nafanya document za maendereo ya chama naomba nitafute kwa namba izi 0629251669
 
Picha ulivyopiga haina uhusiano na ulichoandika sisi wahuni tumeelewa lengo lako
 
Jaribu kufanya mambo yenye tija Kama kuandika mambo ya kukisaidia chama chako

Hayo mambo unafanya hayana msingi wowote zaidi zaidi utakuwa unatumika with zero impact .

Kuweni smart
...
Mimi umemwelewa Pisi Kali...
 
Back
Top Bottom